yaan lazma tuchkue uefa mwakaniVarane huyu sio Yule wa miaka ya nyuma wanachukua uefa 3 consecutively ...alishatoka kwenye peak yake muda ni hakimu sahihi
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Wage bills za timu ndo zitaongea na hii financial crisis, expect the unexpected.Messi kumpata ngumu ataenda PSG
Ashley Young kacheza Aston Villa iliyokuwa inapigania nafasi ya tano au sita na haikushindwa kufika hatua hizo kipindi ilikuwa na wachezaji wengi mahiri kama James Millner, Gareth Barry, Agbonlahor na wengineo ni sahihi kabisa Ashley Young kuwa na takwimu hizo.Wazee.wa takwimuView attachment 1881626
namkubali sana Buendia, kwangu mimi ni mtengenezaji mzuri kuliko grealish.Ashley Young kacheza Aston Villa iliyokuwa inapigania nafasi ya tano au sita na haikushindwa kufika hatua hizo kipindi ilikuwa na wachezaji wengi mahiri kama James Millner, Gareth Barry, Agbonlahor na wengineo ni sahihi kabisa Ashley Young kuwa na takwimu hizo.
Jack Grealish kacheza Aston Villa iliyotoka Championship na washambuliaji wakubahatisha bahatisha ila katika kutengeneza nafasi za magoli Grealish anamwacha mbali sana Young.
By the way Aston Villa wameuza Magoli 9 na Assist kadhaa wamenunua magoli 36 na assist nyingi zaidi.
Nategemea ushindani mkubwa kutoka Aston Villa msimu huu.
Leon Bailly Danny Ings Emiliano Buendia
Ni kweli Buendia ni hatari sana ila ujio wa Leon Bailly Front three ya Aston Villa itakuwa ya kuogopa sana.namkubali sana Buendia, kwangu mimi ni mtengenezaji mzuri kuliko grealish.
na Young mkuu alikuwa mtu sana, usisahau alikua na record ya uchezaji bora wa mwezi mara nyingi ndani ya Msimu kabla bruno hajaivunja msimu uliopita.
simjui vizuri huyu jamaa, ila nimemcheki naona ni left midfield position ya Grealish.Ni kweli Buendia ni hatari sana ila ujio wa Leon Bailly Front three ya Aston Villa itakuwa ya kuogopa sana.
Nimeona tetesi wanamuwinda Owen Cantwell.
Ni kweli Ashley Young alikuwa mtengenezaji mzuri probably kwa sababu anamzidi Grealish Speed na Young alikuwa clinical golini kuliko Grealish
Leon Bailly ni winger anayecheza wings zote kushoto na kulia ila KRC Genk alikuwa akicheza Right wing na Bayer Leverkusen napo ni hivyo hivyo.simjui vizuri huyu jamaa, ila nimemcheki naona ni left midfield position ya Grealish.
Baily namjua, namaanisha huyo dogo owen.Leon Bailly ni winger anayecheza wings zote kushoto na kulia ila KRC Genk alikuwa akicheza Right wing na Bayer Leverkusen napo ni hivyo hivyo.
Msimu uliopita haukuwa mzuri sana kutokana na majeraha ya mara kwa mara.
Hata misimu kadhaa nyuma tulianza kumwinda baada ya kukosa wing wa kulia muda mrefu.
Owen anacheza CAM na left wing alikuwa timu moja na Emiliano Buendia katika kikosi cha Norwitch kilichoshuka daraja msimu wa 2019/2020 nafikri wameipandisha tena Norwitch wakiwa pamoja ni goal scoring midfield last season Liverpool kuna tetesi walikuwa wanamhitaji ni kijana mdogo tu mwenye mapafu ya mbwa.Baily namjua, namaanisha huyo dogo owen.
Ni tod cantwel wa norwich na si owen cantwelNi kweli Buendia ni hatari sana ila ujio wa Leon Bailly Front three ya Aston Villa itakuwa ya kuogopa sana.
Nimeona tetesi wanamuwinda Owen Cantwell.
Ni kweli Ashley Young alikuwa mtengenezaji mzuri probably kwa sababu anamzidi Grealish Speed na Young alikuwa clinical golini kuliko Grealish
Mh, huyo andunje sijawahi kumkubali tangu akiwa dogo.Mnasemaje kuhusu dili la MESSI?Hakuna timu inaweza mlipa zaidi yetu, tumfichie aibu asiwe unemployed.
Tofauti na huyu ?Ni tod cantwel wa norwich na si owen cantwel
Tofauti na huyu ?View attachment 1881978
Lakini si ni huyo huyo ?Mkuu kwa watu wa soka anafahamika kama Todd Cantwell.
Majina ya kati sio poa
Pia Grealish possibly angepaswa kutengeneza na kufunga magoli zaidi kwakuwa amecheza akiwa ligi relative simple (championship) wakati Young amefanya vyema akiwa ligi relative tough (EPL)Ashley Young kacheza Aston Villa iliyokuwa inapigania nafasi ya tano au sita na haikushindwa kufika hatua hizo kipindi ilikuwa na wachezaji wengi mahiri kama James Millner, Gareth Barry, Agbonlahor na wengineo ni sahihi kabisa Ashley Young kuwa na takwimu hizo.
Jack Grealish kacheza Aston Villa iliyotoka Championship na washambuliaji wakubahatisha bahatisha ila katika kutengeneza nafasi za magoli Grealish anamwacha mbali sana Young.
By the way Aston Villa wameuza Magoli 9 na Assist kadhaa wamenunua magoli 36 na assist nyingi zaidi.
Nategemea ushindani mkubwa kutoka Aston Villa msimu huu.
Leon Bailly Danny Ings Emiliano Buendia
Wapo PSGMnasemaje kuhusu dili la MESSI?Hakuna timu inaweza mlipa zaidi yetu, tumfichie aibu asiwe unemployed.
Ni huyo huyo, sema jina analofahamika ni Tod CantwelTofauti na huyu ?View attachment 1881978