Mkuu hii assessment wanatumuaga makocha wengi wakubwa kusajili mchezaji ,takwimu huwa zinaangaliwa lakini sio kigezo kikubwa ...
Mchezaji akiwa kwenye pitch ndio anajiuza ,...
Mtu kama samata anatakwimu nzuri ,ila mwangalie uwanjan anavocheza kwa anayejua mpira ataelewa nachosema....
Hana uwezo wa kuposses mpira hata second 5 ,hawezi kudribble ,
Kupita hata watu wawili ,..,hawezi kuficha mpira anapokuwa na adui ..
Hivyo ni vitu vidogo ,kwa macho ila amini ndio vinambeba mchezaji ...
Grealish hana namba kubwa ya magoli ,ila akiwa na mpira aisee kila mtu yupo na amani uwanjan kuwa ,mpira upo. Sehemu salama ,kwa sababu kumpokonya either umpige rafu au umuache aende..