World class DM kwa dunia ya sasa hawezi kuwa chini ya hiyo pesa mkuu tusidanganyane..hata tukimtaka NDIDI basi lazima mpunge utoke wa kutosha..DM world class wapo wengi,,si lazima huyo
Kante kashaanza kuwa kizee hiyo pesa ni nyingi sana..Leteni €200M tuwauzie Mashine Kante.
Kikosi chenu kingekuwa na DM aina ya Kante, dah mngekomba makombe yote.
Tena waambie awe proven mkuu , sio wa kuja kusubiri !! 50m wanapatikana, bt waingereza wachezaji wao ni untouchable! City akijichanganya atatoa 150-170 kwa harry, huyo tayari keshashikwa maskio kakubali 100 kwa jackGWorld class DM kwa dunia ya sasa hawezi kuwa chini ya hiyo pesa mkuu tusidanganyane..hata tukimtaka NDIDI basi lazima mpunge utoke wa kutosha..
Au nitajie World class DM ambaye atakuwa first choice kwa bei rahisi.
Pia pacha sana , hawezi kucheza mechi 10-12 frequently,,,!!! Umri unasogea piaKante kashaanza kuwa kizee hiyo pesa ni nyingi sana..
Sema Prime Kante kwenye dimba pale OT na Straika mwenye njaa...ahaaa makombe tu..labda kocha awe tu kilaza
Scott mimi simwonagi kama ni mchezaji mwenye technical ability yoyote..yupoyupo tu na pia hayupo sharp.Scotty alipofika hana maajabu zaidi ya haya!!! Fred wale wale,,,!
Tunahitaji DM wa uhakika
Mkuu sasa hivi tuna Dof na watu competent kule juu, ukisoma Deal la varane lilivyokamilishwa utaona Man u ya Sasa si kama Ya Woodward. Kuna watu wa naelewa wanachofanya.Chief-Mkwawa unadhani klabu kuweka kipengele cha kulipwa fedha kwa baadhi ya wachezaji wanaovumishwa kutakiwa kwa mkopo na vilabu vyenginevyeo ni jambo sahihi?
najua klabu inataka kukusanya pesa ili kutunisha mfuko pamoja na kupunguza gape la manunuzi dhidi ya mauzo, nje ya hapo hatuoni kama tunajitengenezea mazingira magumu ya kuvutia wachezaji wetu kwenye soko la ushindani.
- jaribu kurejea tetesi za diogo dalot ambazo zinadai klabu inataka euro millioni 5 na kiwepo kipengelea cha kumnunua
- rejea tetesi za brandon williams ambazo zinadai klabu inataka euro millioni 2 na kiwepo kipengelea cha kumnunua
- vile vile rejea tetesi za axel tuanzebe anayetakiwa na Aston villa pamoja na newcastle united
Unless tuna switch 4-3-3 ila kama tunacheza Double pivot Fred ni proved Ball winner, hata copa America ame prove ni solid Midfielder.Scott mimi simwonagi kama ni mchezaji mwenye technical ability yoyote..yupoyupo tu na pia hayupo sharp.
Fred naye ameshindwa kabisa kutufanya tumwamini.
Matic is dead and gone.
Tunahitaji DM aisee..kuna vichezaji kibao tu vya kuviuza na kupata mtonyo..bora tuwauze hata kwa mafungu.
Kante sio DM, uchezaji wa Kante ni kama Fred ni CM lakini design ya Ball wining midfielder.Kante kashaanza kuwa kizee hiyo pesa ni nyingi sana..
Sema Prime Kante kwenye dimba pale OT na Straika mwenye njaa...ahaaa makombe tu..labda kocha awe tu kilaza
dah kama inaezekana tubebeMnasemaje kuhusu dili la MESSI?Hakuna timu inaweza mlipa zaidi yetu, tumfichie aibu asiwe unemployed.
Tusubiri tuone, Man. City huko waliko wanatamani waahirishe dili la Grealish.dah kama inaezekana tubebe



cheki jezi ilivyomkubaliTusubiri tuone, Man. City huko waliko wanatamani waahirishe dili la Grealish.![]()
Anakuja kula pensheni daaah roho yaniuma mimiVarane huyu sio Yule wa miaka ya nyuma wanachukua uefa 3 consecutively ...alishatoka kwenye peak yake muda ni hakimu sahihi
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app