Chizi si lazima aokote makopoMadrid’s 17th Court has confirmed that all 12 clubs remain in the Super League. Madrid's 17th Court statement: "The Super League project continues with ALL clubs without ANY club withdrawing."
Mganga kutoka wapi wewe?Hapa ole ataambulia point 9 tuuu
Hapo nawaogopa leeds tu hao wengine ni vibonde tu.First 5 fixtures;
1. Leeds United (H)
2. Suothampton (A)
3. Wolverhampton (A)
4. Newcastle United (H)
5. West Ham United (A)
Tusipopata points 15 hapa Ole aondoke.
Hivi ruby ina thamani sana eehh na je inachimbwa chini au ndo km nilivyoaminishwa inatoka kwa samaki.Mganga kutoka wapi wewe?
Nahitaji ruby gram 4 ili niwe mionea
Utakuwa unazungumzia "lulu" ndo inatoka kwa samaki, Ruby inachimbwaHivi ruby ina thamani sana eehh na je inachimbwa chini au ndo km nilivyoaminishwa inatoka kwa samaki.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Circle itaanza tena msimu huu 4th winner..Msimu wa ole wa kwnz man u
4 th winner 2018/2019
3rd winner 2019/2020.
2nd winner 2020/2021
1 winner 2021/2022.
Mimi siangalii maneno ya wachezaji kamari ,
Wala wachuzi uchwara.
Naangali parfomance ya timu yangu.
Wachambuzi wengi ni wanazi wa timu fulani..
Sio kwa 433...attack attackCircle itaanza tena msimu huu 4th winner..
Ole ni yule yule atakuwa hana jipya.Sio kwa 433...attack attack
Labda tupate majeruhi ya first eleven.Ole ni yule yule atakuwa hana jipya.
Kipa Degea - kesharidhika na maishaLabda tupate majeruhi ya first eleven.
Kama wapo wote fit.
Wachezaji wazuri watampa taji ole.
433 ndy mpango.
Tunaanza na game 15 bila kufngwa wala drawKipa Degea - kesharidhika na maisha
Beki Varane - keshabeba kila kitu
Kiungo Pogba - hana furaha na manure
Mshambuliaji Sancho - ni Rashid aliyechangamka.
Martial, Matic, Mata - hawa muda wao unazidi kuyoyoma.
Bruno nzuri lakini siyo wa kuleta makombe.
Mruguayi yule atawabeba kidogo lakini baadae atachoka.
Siyoni hii Manure ikifika hata robo fainali uefa. Achilia mbali ligi..
Huyu Ole naona atakuwa ni Failed Project siku za usoni..
Namba moja ni Henderson, sio degea.Kipa Degea - kesharidhika na maisha
Beki Varane - keshabeba kila kitu
Kiungo Pogba - hana furaha na manure
Mshambuliaji Sancho - ni Rashid aliyechangamka.
Martial, Matic, Mata - hawa muda wao unazidi kuyoyoma.
Bruno nzuri lakini siyo wa kuleta makombe.
Mruguayi yule atawabeba kidogo lakini baadae atachoka.
Siyoni hii Manure ikifika hata robo fainali uefa. Achilia mbali ligi..
Huyu Ole naona atakuwa ni Failed Project siku za usoni..
Varane huyu sio Yule wa miaka ya nyuma wanachukua uefa 3 consecutively ...alishatoka kwenye peak yake muda ni hakimu sahihiNamba moja ni Henderson, sio degea.
Varane ni Rio Ferdinand mpya .
Amekuja kuleta makombe.
Pacha ya Sancho rashford na Cavan haijawahi tokea England.
Ni hatari ya danger.
Pogba hategemewi sn man u.
Kuna kifaa kinakuja DM kuja kubalance timu.
Matic,,,mata hawana nafasi 11 first team.

Ohooo saiv bek ndoo analeta makombe au cjaelew vzrNamba moja ni Henderson, sio degea.
Varane ni Rio Ferdinand mpya .
Amekuja kuleta makombe.
Pacha ya Sancho rashford na Cavan haijawahi tokea England.
Ni hatari ya danger.
Pogba hategemewi sn man u.
Kuna kifaa kinakuja DM kuja kubalance timu.
Matic,,,mata hawana nafasi 11 first team.
Ni kweli maana ni kawaida ya e kung'ata na kupuliza. Mtaanza kwa nguvu kubwa sana but mwisho tunajua mtakapoishia.Tunaanza na game 15 bila kufngwa wala draw
Varane wako wawili tofauti. Yule wa triple uefa na huyu sasa ambaye hata Zouma anaweza kumficha ndo umfananishe na Rio Ferdinand?Namba moja ni Henderson, sio degea.
Varane ni Rio Ferdinand mpya .
Amekuja kuleta makombe.
Pacha ya Sancho rashford na Cavan haijawahi tokea England.
Ni hatari ya danger.
Pogba hategemewi sn man u.
Kuna kifaa kinakuja DM kuja kubalance timu.
Matic,,,mata hawana nafasi 11 first team.
Uko tayari kutoa zaidi ya £80m ili kumpata Declan?CDM ni Rice tu: good passing, amazing vision. Hiyo ndiyo siri ya msimu ujao kucheza na 433.