Mkuu maswala ya kuaangalia Google anamagoli ,sijui assist ndio kimempoteza samata ...
Mpira sio kusubili utafuniwe wewe umalize mpira ,ni udambwi udambwi mwingi ...
Mpira wa kubutua butua tu kama kina lukaku ni wa kizaman na unaenda kuisha soon ,..
Na lukaku kama anaenda Chelsea basi anapotea soon,ile sio timu ya kusubili ushushiwe mpira ubutue golin ,..
Ndio maana aguero hakufit kwenye mfumo wa pep ,ila zaman alikuwa star ,kwan mifumo ya mipira inabadili ..
Na makocha wakubwa tu ndio wanajua hilo ,morihno mpira umemshinda kwasababu kama hizo ...
Modern football ,play as team ,defend as team ,attack as team ,trust me kocha atakayepata wachezaji wa kufiti huo mfumo ,hakuna team itakayoweza kupita hapo ...