mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,363
- 21,441
Man u always ni big club duniani.Kwani hii Man united na Arse8 kwa sasa kuna tofauti? Kwani hii Man united kwa sasa bado ni timu kubwa?
Man u always ni big club duniani.Kwani hii Man united na Arse8 kwa sasa kuna tofauti? Kwani hii Man united kwa sasa bado ni timu kubwa?
Arsenal sio ata club ni kilabuKwani hii Man united na Arse8 kwa sasa kuna tofauti? Kwani hii Man united kwa sasa bado ni timu kubwa?
Le Havre > Chelsea > Arsenal > Pompey > Real MadridHuyu Lassana Diara hakutokea madrid to chelsea huyu?
Kipindi cha nyuma Woodward alikuwa anafanya usajili kama ananunua suruali kariakoo.
Anajaribia kila nguo na wale wapiga debe (agents) kila wakimstua anafuata kwenda kujaribia.
Nimecheki interview ya Halaand pia amekiri Sancho kasepa tayari.Dili la Sancho bhana, mwaka jana limechukua msimu mzima na halikukamilika
Msimu huu, lilionekana kukamilika mapema lakini mpaka muda huu halijatangazwa
Note: Concern yangu, kwa miaka ya karibuni United imekuwa ikishughulikia dili mpaka likamilike ndio iende kwenye dili lingine. Kuna uwezekano wa dili la Varane kuchelewa zaidi
Naomba kutajiwa wachezaji watano waliotoka ligi kuu ya Ufaransa walioendelea kuonyesha kiwango bora ndani ya premier league
- Fabinho
ni sababu zipi za msingi zinapolekea wachezaji wetu kushindwa kununuliwa na vilabu vyengine huku vilabu vyengine mfano liverpool na chelsea kiupande wao inakuwa ni rahisi kufanya hivyo?
Hujawaji kua na akili wewe.Simple question kabisa na mm nakujibu kirahisi sana, sababu wachezaji wenu ni magharasa
Huyu jamaa hatutakuwa nae next season.
dalili zimeshaonyesha hivyo, cha kushukuru ni kwamba tulishajiandaa kuishi bila ya huduma yake.Huyu jamaa hatutakuwa nae next season.
Ila akiondoka bila kusajili replacement tutakuwa hovyo sana japokuwa Donny yupo ila kwa majeraha aliyonayo sidhani kama atakuwa fit kuchezadalili zimeshaonyesha hivyo, cha kushukuru ni kwamba tulishajiandaa kuishi bila ya huduma yake.
msimu uliopita amecheza mechi 26 za ligi kuu na kati ya hizo mechi 5 ameanzia benchi
Ila akiondoka bila kusajili replacement tutakuwa hovyo sana japokuwa Donny yupo ila kwa majeraha aliyonayo sidhani kama atakuwa fit kuchezadalili zimeshaonyesha hivyo, cha kushukuru ni kwamba tulishajiandaa kuishi bila ya huduma yake.
msimu uliopita amecheza mechi 26 za ligi kuu na kati ya hizo mechi 5 ameanzia benchi
Uyo dogo kuna watu wanamchukulia poa kwakuwa ni mweusi.mnapokua mnawaangalia akina shaw na kuwapa sifa kede kede huku mkipita kutoa pole kwenye page za akina rashford kuwapa pole kwa kukosa penalty timu ya taifa, muwe mnamfuatilia pia amad dialo huko timu yake ya taifa, we have a pure talent. time will tell
Binafs jamaa namkubali sana.Huyu jamaa hatutakuwa nae next season.