Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

madrid hawana mpango wa kusajili mchezaji kwa msimu huu, hapo labda wamsubirie msimu ujao kwa free transfer.
paris sidhani kama ni sehemu sahihi kwake (ushindani ni mkubwa sana)
Tatzo inavyoonekana Dogo hajataka kuja United. Anawasubiri Paris na Madrid.
Hii kwangu naona sio nzuri kwa United kulazimisha mchezaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatzo inavyoonekana Dogo hajataka kuja United. Anawasubiri Paris na Madrid.
Hii kwangu naona sio nzuri kwa United kulazimisha mchezaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa uoni wangu PSG wanamuangalia zaidi paul pogba kuliko camavinga ila kama paul atakubali kubakia manchester ndipo watakaporudisha nguvu zao kwa camavinga kwa usajili huru msimu ujao.

kama ulivyogusia hapo juu upande wa camavinga bado unasita kufanya uamuzi (huenda akasalia ufaransa)
 
kwa uoni wangu PSG wanamuangalia zaidi paul pogba kuliko camavinga ila kama paul atakubali kubakia manchester ndipo watakaporudisha nguvu zao kwa camavinga kwa usajili huru msimu ujao.

kama ulivyogusia hapo juu upande wa camavinga bado unasita kufanya uamuzi (huenda akasalia ufaransa)
Yeah, kuna uwezekano akasalia ufaransa(Rennes), japokuwa amekataa kusaini mkataba mpya.

Ishu ya Pogba, naona kama ataondoka bure sioni dalili za kusaini mkataba mpya, na PSG wanapenda deals za namna hiyo( refer kwa Wignadam na Donarumma).
Sijui wew unaionaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ishu ya Pogba, naona kama ataondoka bure sioni dalili za kusaini mkataba mpya, na PSG wanapenda deals za namna hiyo( refer kwa Wignadam na Donarumma).
tatizo kubwa ni yule mwendawazimu mino raiola, anaweza kuwazungusha manchester kwa takribani msimu mzima baadae paul aondoke bure msimu ujao kama ulivyogusia kwa donnarumma.

ni matumaini yangu klabu imeshajifunza vya kutosha kupitia sakata la donnarumma
 
1626760702705.png
 
ni sababu zipi za msingi zinapolekea wachezaji wetu kushindwa kununuliwa na vilabu vyengine huku vilabu vyengine mfano liverpool na chelsea kiupande wao inakuwa ni rahisi kufanya hivyo?
Mishahara mikubwa tunayowalipa ndio tatizo.

Kwa kiwango Lingard alichokionesha ilitakiwa timu kama West ham na Everton ziwe zinamgombania sasa hivi.
Tatizo msharaha wakilinganisha na Umri. Wanaona ni bora watafute Young players.

De gea, alitakiwa awe ameuzwa. Lakini kwa mshahara tunaomlipa hakuna timu inayomtaka.

Martial, tukisema tumuuze mshahara wake utakuwa kikwazo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni sababu zipi za msingi zinapolekea wachezaji wetu kushindwa kununuliwa na vilabu vyengine huku vilabu vyengine mfano liverpool na chelsea kiupande wao inakuwa ni rahisi kufanya hivyo?
Wengi wao career zao zinakuwa zimeshapoteza mwelekeo hivyo hawanunuliki.

Mfano Phil Jones hata timu ya daraja la nne itajiuliza mara mbili mbili kumnunua.
 
Introducing Vilde Bøe Risa, the latest addition to the #mufc family!
1626774333165.png


"I'm happy to be here, at such a big club that I have grown up supporting. Manchester United is huge in Norway so to be able to come here and play for the team now is a dream come true."
 
ni sababu zipi za msingi zinapolekea wachezaji wetu kushindwa kununuliwa na vilabu vyengine huku vilabu vyengine mfano liverpool na chelsea kiupande wao inakuwa ni rahisi kufanya hivyo?
Tuna lundo la wachezaji inabidi wauzwe ila tunaona porojo tu..

Ubora mdogo tuwauze kwa mafungu..
 
Back
Top Bottom