D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,646
- 121,056
madrid hawana mpango wa kusajili mchezaji kwa msimu huu, hapo labda wamsubirie msimu ujao kwa free transfer.
paris sidhani kama ni sehemu sahihi kwake (ushindani ni mkubwa sana)