fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,210
- 9,206
Didier DrogbaNaomba kutajiwa wachezaji watano waliotoka ligi kuu ya Ufaransa walioendelea kuonyesha kiwango bora ndani ya premier league
- Fabinho
Michael Essien
Didier DrogbaNaomba kutajiwa wachezaji watano waliotoka ligi kuu ya Ufaransa walioendelea kuonyesha kiwango bora ndani ya premier league
- Fabinho
Kwa uono wangu mdogo kwenye hili,Diogo Dalot,Andreas Perreira,Tahit Chong,Marcos Rojo na Angel Gomez (baadhi wameishauzika) ni baadhi ya wachezaji wa united ambao tunaona buyers wako tayari kukaa mezani kukubaliana bei sahihi ili biashara ifanyike.ni sababu zipi za msingi zinapolekea wachezaji wetu kushindwa kununuliwa na vilabu vyengine huku vilabu vyengine mfano liverpool na chelsea kiupande wao inakuwa ni rahisi kufanya hivyo?
CavaniNaomba kutajiwa wachezaji watano waliotoka ligi kuu ya Ufaransa walioendelea kuonyesha kiwango bora ndani ya premier league
- Fabinho
Pia camavinga bado sana kuweza kutusaidia kutafuta mataji..Tena sana kwa hali ya sasa
Ebwana weee nilisave kwa simu sasa ikapotea mkuu.Ntakutumia. Kwanini uliifuta
Kwani hii Man united na Arse8 kwa sasa kuna tofauti? Kwani hii Man united kwa sasa bado ni timu kubwa?Pia camavinga bado sana kuweza kutusaidia kutafuta mataji..
Tunahitaji DM aliyekamilika..still to young and not good enough to man u.
Mkuu wale mashoga wanaokusumbua PM ulimalizana nao?Mafanikio makubwa ya Ole ni msimu ulioisha kaifikisha manure fainali ya Europa. Kushika nafasi ya pili isiwape kiburi na kuona ninyi bado ni timu kubwa, hapana. Kwa sasa manure ni timu ya kawaida sana ukubwa wake umeporomoka kutokana na kutoleta ushindani "wowote ule wa maana" kwenye ubebaji wa vikombe. Hii timu kwa sasa ni kama Everton tu au Aston villa maana hara na zenyewe zikikaza zinaweza kuishika nafasi ya pili pia. Kwa sasa tukubaliane na ukweli manure ni brand inayozidi kupoteza mvuto, na ndio maana kiwango cha mashabiki wapya kwa hii bado kipo chini. Nina uhakika tangu kuondoka kwa Alex Furgie kiwango cha mashabiki kimeongezeka kidogo sana au kipo pale pale au kimepungua maana tangu wakati huo hadi Leo hii timu haijafanya "lolote lile la maana." Na kuibuka kwa Man City nina uhakika kumepunguza kiwango kikubwa cha mashabiki maana wengi ambai walikuwa ni watoto wamekuwa sasa na wamekuta man city inafanya vizuri ivyo wameenda huko.
Timu zilizoongeza mashabiki katikati hapa nina uhakika no Liverpool, Man City, Chelsea ..hizi nyingine kama Spurs, Manure, Arse8 nina uhakika mashabiki wamepungua au wako pale pale.
Ha ha ha haHee uyu Lingard karudi!!?? Daahhh cjui kwnn hii michezaji haiuziki.
Mhuu yule chiesa ni mpiganaji aiseeMwingereza huyu tena, Waingereza siyo wa kuaminika, hawajui. Watueletee Chiesa, waachane na Sancho na hao blaa laa wengine
Ha ha haWengi wao career zao zinakuwa zimeshapoteza mwelekeo hivyo hawanunuliki.
Mfano Phil Jones hata timu ya daraja la nne itajiuliza mara mbili mbili kumnunua.
, mwaka jana limechukua msimu mzima na halikukamilikaMkuu nafikiri deal la Sancho kinachochelewesha ni ile kukosa penalty na kushambuliwa kwenye mitandao so nafikiri wanasubiri upepo upite ili kiuchumi deal likitangazwa basi mauzo ya jezi yawe mengi.....ni business strategy tu mbona viongoz wawili wa BVB walisema deal lishakamilika tayari kwa upande wao week lililopitaDili la Sancho bhana, mwaka jana limechukua msimu mzima na halikukamilika
Msimu huu, lilionekana kukamilika mapema lakini mpaka muda huu halijatangazwa
Note: Concern yangu, kwa miaka ya karibuni United imekuwa ikishughulikia dili mpaka likamilike ndio iende kwenye dili lingine. Kuna uwezekano wa dili la Varane kuchelewa zaidi
Wanazingua mkuuMkuu nafikiri deal la Sancho kinachochelewesha ni ile kukosa penalty na kushambuliwa kwenye mitandao so nafikiri wanasubiri upepo upite ili kiuchumi deal likitangazwa basi mauzo ya jezi yawe mengi.....ni business strategy tu mbona viongoz wawili wa BVB walisema deal lishakamilika tayari kwa upande wao week lililopita
Naomba kutajiwa wachezaji watano waliotoka ligi kuu ya Ufaransa walioendelea kuonyesha kiwango bora ndani ya premier league
- Fabinho
Huyu Lassana Diara hakutokea madrid to chelsea huyu?
- Michael Essien, Lyon to Chelsea
- Petr Cech, Rennes to Chelsea
- Eden Hazard, Lille to Chelsea
- William Gallas, Marseille to Chelsea
- Lassana Diarra, Le Havre to Chelsea