ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
PellistriMliocheki gemu tupeni feedback.
PellistriMliocheki gemu tupeni feedback.
Tom sio DM..basi tumrudishe Tom Cleverly
Mwingereza huyu tena, Waingereza siyo wa kuaminika, hawajui. Watueletee Chiesa, waachane na Sancho na hao blaa laa wengineJana niliona taarifa Twitter kwenye ukurasa wa United we Stand ikisema kuwa United wamekubaliana na Atletico kumnunua Trippier kwa Euro Milion 20.
Tupe stats za Chiesa na Sancho msimu huu kaka.......Mwingereza huyu tena, Waingereza siyo wa kuaminika, hawajui. Watueletee Chiesa, waachane na Sancho na hao blaa laa wengine
habari za usiku huu ndio hizi, labda bwana wakala anataka kuitumia manchester united kwa dhumuni la kuramba dili kubwa
View attachment 1858902
Hee uyu Lingard karudi!!?? Daahhh cjui kwnn hii michezaji haiuziki.
Usihofu msimu huu tunabeba save this commentOya ninyi
Miaka 10 hamjachukua EPL
Miaka 13 hamjachukua CL
NAWAKUMBUSHA TU![]()
Usihofu msimu huu tunabeba save this comment
Msimu huu usajili kwa vilabu vingi hauko sawa.
euro millioni 40 ni parefu sanaMsimu huu usajili kwa vilabu vingi hauko sawa.
Ila kwa sababu united ni shamba la bibi tutapigwa tena.
Hakuna ushindani kabisa katika dirisha hili la usajili