Maguire tusimdharau sana..
Tunahitaji CB viwango vya dunia..sema nilipoona Bailly kaongezewa kandarasi kubwa huku akiwa ni spana mkononi basi nikajua hatuna mpango wa kusajili beki.Kabisa kuanzia leo leo namuheshimu
Alafu ole anamtoa Baily ili iweje ona sasa goli la nne, kilindelof kinakimbia kwingine kutoa space.
Shenzi sana.
Hapana timu yetu imecheza mechi 4 ndani ya siku 8 tu lazima tungecheza hovyo timu ina fatigue sana.Game ya leo si ya kumlaumu kocha machezaji ni kama yamekunywa mbege.
Goli zote ni uzembe tu wa kupoteza mipira hovyo.
Binafsi sikutegemea tushinde hii mechi kwa fatigue tuliyonayo kwa sasa@The best 007 Unaona?
Fred alicheza vibaya sana first half na second half hivyo hivyo.Ila ole nae anashida sana tomi anabakije humu ndani dhidi ya fred??
Fatigue ipi na alipumzisha kikosi karibu choteBinafsi sikutegemea tushinde hii mechi kwa fatigue tuliyonayo kwa sasa
Mashabiki hua tunatabiri matamanio yetuNionavyo
Tunashinda mbili kwa moja na kuwazuia Liverligi na hawatasajili wachezaji wa maana watarudi kule walikokuwa zamani
Mwishowe kakosa vyotewalisema Ole kachezesha kikosi cha watoto dhidi ya Leicester ili aiuzie Liverpool kwenda champions league
![]()
Najifunza kuhusu mambo anuai. Nimefanikiwa kuandaa nadharia fulani kuhusu mashindano ya mpira wa miguu. Kwa kutumia nadharia hiyo, ndiyo niliposti matarajio yale, na ambayo yalikuja kutimia. Ukiangalia post-history yangu utaona mechi nyingine mbili tatu nilizozielezea kama hii. Na zote zilitukia kama zilivyotarajiwa. Hivyo inaonesha kwamba nadharia husika inaendana na uhalisia kwa kiwango kikubwa.Binafsi sikutegemea tushinde hii mechi kwa fatigue tuliyonayo kwa sasa
Kapata adabu leo kafanya fitna zote Liverpool asipate maana kama hasidi kawa litaka kuisaidia Leicester wakati huohuo aharibu kwa Liver na yeye apate lakini kafundishwa adabu. kuwa nafasi ya pili tu alishajiona ana bonge la team visababu vyake kucheza mechi baada ya masaa 48 ngumu mbona boxing day huwa wanacheza game 3 muda wa wiki tu ila adabu kapata.walisema Ole kachezesha kikosi cha watoto dhidi ya Leicester ili aiuzie Liverpool kwenda champions league
![]()
Hapana hiyo sio sababu zile mechi za mwisho wa mwaka za boxing day, mwaka mpya wanacheza mechi kila baada ya siku au siku mbili na team zinacheza juzi kachezesha team 8 leo angeshinda angesema sababu liwapumzisha ila sasa hana sababu kazidiwa tu.Hapana timu yetu imecheza mechi 4 ndani ya siku 8 tu lazima tungecheza hovyo timu ina fatigue sana.
Tusiwalaumu wachezaji wetu kwa vitu vilivyoko nje ya uwezo wao.
Nmeona mkuu, umetisha sn.@The best 007 Unaona?
Ila kaka wewe wa kitambo!!!! 2006!!?? Duh inapaswa tukuheshimu humu ndani mkuu.Najifunza kuhusu mambo anuai. Nimefanikiwa kuandaa nadharia fulani kuhusu mashindano ya mpira wa miguu. Kwa kutumia nadharia hiyo, ndiyo niliposti matarajio yale, na ambayo yalikuja kutimia. Ukiangalia post-history yangu utaona mechi nyingine mbili tatu nilizozielezea kama hii. Na zote zilitukia kama zilivyotarajiwa. Hivyo inaonesha kwamba nadharia husika inaendana na uhalisia kwa kiwango kikubwa.






Binafsi sikutegemea tushinde hii mechi kwa fatigue tuliyonayo kwa sasa
kweli mkuuKazi ya kuchinja jogoo leo.
unavyoona atashinda ngapi sasaVyovyote itakavyokuwa Utd hawezi iacha Liverfool ipumue, yn Man utd kajifungisha mechi iliyopita kwasababu ya mechi ya leo alafu amuache hahahahaa leo ni vita mkuu, kadi nyekundu ipo![]()