Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Waungwana pana app moja nadhani iliitwa jsoccar walikuwa wanatoza kiasi ya tshs 2000 walinifaa sana kuangalia game sasa pana mtu alichezea simu yangu kamepotea hako ka link kama pana mtu humu anatumia hiyo app tafadhali anijuze niweze kudownload hiyo kitu.
 
Kichapo ni kichapo tu hata mkijisaulisha
Kipaumbele muhimu sana kila siku noangea humu manchester city tayar alishakuwa bingwa hata kama tungeshinda hizi mech mbili wao walikuwa wanataka point 3 ili wawe mabingwa unawezaje kukamia mech mbili ngumu ndani ya siku 3? Ukipata majeruhi unachezaje final ya EUROPA tukumbukr maguire tayar mgonjwa

Angalia kikosi cha city vs chelsea ingekuwa pep hana uhakika wa ubingwa angepanga timu ngumu dhidi ya chelsea kufungwa jambo lingine

Toka mech ya leicester city mm naona ole yupo sawa kwanza tayar ana uhakika wa kucheza uefa pili yupo final ya europa sasa tunataka nn wakat city ni bingwa binafsi mech zote zilizosalia nilijua ni bonanza tu
Mech ya jana nililala sikuangalia wala sikuwa na mzuka nayo kwa sababu kila kitu kimeisha
 
Kocha wa viungo hafanyi kazi yake kwa usahihi kila mech viungo wanapoteza sana mipira
Jana mtu aliyeflop zaidi kuliko wote ni Fred probably ni Fatigue kacheza mfululizo toka August 2019 non stop unategemea kabisa kutokuwa sawa.

Recently Fred amekuwa na makosa mengi sana sababu ya uchovu na kukosa umakini.

Upande wa kushoto na kulia jana fullbacks na wings tulikuwa hovyo sana hatukuwa na threat yoyote uwanjani.

Ila bora angecapitalize game ya Leceister tungeweza kupata ushindi kuliko hii game ya Liverpool.

Tulikuwa hovyo sana everywhere.
 
Kocha wa viungo hafanyi kazi yake kwa usahihi kila mech viungo wanapoteza sana mipira
Kitanzi cha mwisho ni pale alipomtoa Baily akamwingiza Matic tukawa Vulnerable zaidi nyuma kwa kina Salah na Mane kwa sababu hakuna tena mwenye speed uwanjani.
 
Back
Top Bottom