Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,726
Magoli ya kizembe sana ila victor ni mzembe zaidi yani mpaka salah anazidi nguvu.
Hamna kitu huyu msweden..Magoli ya kizembe sana ila victor ni mzembe zaidi yani mpaka salah anazidi nguvu.
Tunahitaji world class CB..huyu lindelof ni utopolo
Kiwango kimeshuka sanaPogba nae kuteleza teleza shida iko wapi?






walisema Ole kachezesha kikosi cha watoto dhidi ya Leicester ili aiuzie Liverpool kwenda champions league 








Kwenye mechi hii natarajia yafuatayo yatatokea:
1. Liverpool ataibuka mshindi. 🤑
2. Patakuwa na mojawapo au zaidi: penati/goli lililokataliwa/kadi nyekundu. 🤬
Kwenye mechi hii natarajia yafuatayo yatatokea:
1. Liverpool ataibuka mshindi.
2. Patakuwa na mojawapo au zaidi: penati/goli lililokataliwa/kadi nyekundu.