radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Kichapo ni kichapo tu hata mkijisaulisha
Kinaharibu nini kwa manchester united? Hayupo kwenye mbio za ubingwa wala kukosa top 4 ya nini sasa nikae kuumiza akili hata kocha mwenyewe anajua ni upuuzi ila nyie mnaojinasua msicheze europa ndio mnatakiwa kutumia nguvu hiv kwa akili yako united angekuwa hana uhakika wa top 4 ungeshinda?

