ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
Inashangaza...Kuna kipenge kimekwa Ac milan wanaweza kumnunua jumla
Unamtoa dalot halafu unamuacha bissaka bila mbadala.....
Ivi james kamzidi nini dalot mbio ama
Inashangaza...Kuna kipenge kimekwa Ac milan wanaweza kumnunua jumla
We mwenyewe si uliamini tunafungwa game hii!Naomba wale malaya na leo waje humu![]()
Mpumbavu we,Come on manyumbu..laki sita ileeeee
Sisi tunataka mtabe wa ligiOle kashalithibitisha kuwa yeye ndiyo mtabe wa Guardiola.
Shabiki gani unaanza kukata tamaa kabla game kwisha?Jamaa hawawezi kutuacha amini kwamba.
Nakuhakikishia Sorkskjaer hafukuzwi, miaka 100 mbele.Bado hajafukuzwa tu
Nakuhakikishia Sorkskjaer hafukuzwi, miaka 100 mbele.
Ukitaka twende utaki tafuta timu ya kuishabikia.
Kuna mwenzako ameamua kumfuata Morinho alikoenda, cha ajabu na huko ni vichapo mpaka kichefu chefu.







Cha msingi tume wa pakueni, hayo mengine ni mapambio tu.Wew unagombania nafasi ya Pili ...
Sisi tunapambania EPL ,11point top of the table ....
Ukitaka kujua united ni nguvu ya soda ,next ni westham ...
Ushind wenu itakuwa draw ..!
Tatizo kuna wajinga walipita na simu yangu week mbili nyuma.Umeshinda ndio unakja jf kuvimba ,
Aisee ,muda wore umeshikilia pumbu huko machimboni ...
HahahaaNzi wengine siye siyo waharishaji!
Bado hajafukuzwa tuNakuhakikishia Sorkskjaer hafukuzwi, miaka 100 mbele.
Ukitaka twende utaki tafuta timu ya kuishabikia.
Kuna mwenzako ameamua kumfuata Morinho alikoenda, cha ajabu na huko ni vichapo mpaka kichefu chefu.
Bado hajafukuzwa tu
mwisho wa kunukuu. asipokuelewa akuelewi tenaCha msingi tume wa pakueni, hayo mengine ni mapambio tu.