Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

★Harry Maguire’s game by numbers vs. Man City

100% aerial duels won
91% pass accuracy
9 clearances
4 ball recoveries
3 interceptions ★

#GGMU

manutd | View attachment 1719817

Toka muda nilisema hilo huyu mwamba alikuwa vizur sana leicester city sijui nini kimemkuta kwetu pengine ni msimu ngoja tuone mwaka ujao
 
IMG_0780.jpg
 
Combination ya rashford na shaw inaanza kukomaa niliona toka mech ya crystal palace japo tulitoka 0-0 nikagundua kitu

Ederson kashangaa tu mpira unaingia nyavuni
Ss rashford ametukosesha goli nyingi sn za hivyo, utakuta yeye amebanwa lkn nafasi ya kutoa pasi mwenzie afunge anayo ila hafanyi hivyo ndio maana huwa tunamsema sn.
 
Ss rashford ametukosesha goli nyingi sn za hivyo, utakuta yeye amebanwa lkn nafasi ya kutoa pasi mwenzie afunge anayo ila hafanyi hivyo ndio maana huwa tunamsema sn.

Hata mm rashford huwa namsema sana kwenye kukosa goli za wazi ila ule upande wa kushoto wanaelewana vizur sana na shaw kitu ambacho huku kwa bissaka bado hajapata mtu wa kumsaidia
 
Uzuri tumekupasueni heshima ime rudi.
Kwa sasa mwanamme anajulikana na mvulana anajulikana.
Wew unagombania nafasi ya Pili ...

Sisi tunapambania EPL ,11point top of the table ....

Ukitaka kujua united ni nguvu ya soda ,next ni westham ...

Ushind wenu itakuwa draw ..!
 
Back
Top Bottom