Tumia hesgol. Com mkuuuOnline link please, dstv imekata hapa
Hii game tukipata sare tushukuru maana tunapigwa msako wa kufa mtu
Jamaa hawawezi kutuacha amini kwamba.Tunapoteza mipira hovyo bila hivyo hata goli mbili tungepata kipindi cha kwanza
Jamaa hawawezi kutuacha amini kwamba.



Ngapi uko mkuuAcha kuota wewe ...
Ole na wakina magwaya wote wanajua kuwa kipigo wanachoenda kukutana nacho




