Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

United fans
Screenshot_20210221-183538.jpg
 
nakumbuka katikati ya msimu wa 2018/2019 humu ndani kulizuka mjadala mkubwa sana uliojaribu kuangazia au kuonyesha ni upi upande sahihi ambao mashabiki wa manchester united wanapaswa waegemee kwa muda.
  1. wengine tulitaka bingwa awe liverpool bila ya kujali historia kubwa ya kiupinzani iliopo
  2. wengine walitaka bingwa awe manchester city licha ya kwamba hawa pia ni wapinzani wetu (wanaonekana kuwa ni wapinzani dhaifu kihistoria ya mafanikio)
kwa nini liverpool awe bingwa: Nilielekeza hoja zangu maeneo yafuatayo
  1. squad depth ya liverpool ni dhaifu hivyo basi hawatokuwa na nguvu ya kuleta ushindani kwa misimu miwili hadi mitatu kwa wachezaji walionao, itakuwa ni rahisi kuwaondoa kileleni pindi tutakapokuwa serious kwa soka la ushindani.
  2. FSG wanafanana na familia ya glazer kimatumizi na uendeshaji wa timu hivyo niliamini liverpool hawatokuwa na jeuri ya kufanya usajili wa nguvu kwa kila msimu ukilinganisha na manchester city
  3. aina ya wachezaji anaowapenda klopp ni wale wasiotambulikana kwa kiasi kikubwa sana kwenye soka la bara la ulaya(mwenyewe hujificha kwenye hoja ya mfumo), tofauti na guardiola anayevutiwa zaidi na top players waliokwisha tengenezwa huko watokwako.
kwa ufupi sikutaka kuwa mtumwa wa historia za wazungu na kwangu niliangalia zaidi nyakati tulizopo, man city nilianza kuwaogopa tokea siku ile waliofanikisha usajili wa robinho kutoka real madrid na baadae yaya toure kutoka barcelona

Siwezi kumuogopa klopp asiyekuwa na uhakika wa bajeti ya usajili huku nikiendelea kumuombea mazuri guardiola mwenye uwezo wa kumsajili athan ake kwa paundi millioni 40.

====================
fuentte, Bello na wadau wengineo niliowasahau bado munaendelea kuwa na msimamo wa kuwaombea mazuri zaidi manchester city kuliko liverpool hii inayosajili mchezaji wa daraja la kwanza?
 
nakumbuka katikati ya msimu wa 2018/2019 humu ndani kulizuka mjadala mkubwa sana uliojaribu kuangazia au kuonyesha ni upi upande sahihi ambao mashabiki wa manchester united wanapaswa waegemee kwa muda.
  1. wengine tulitaka bingwa awe liverpool bila ya kujali historia kubwa ya kiupinzani iliopo
  2. wengine walitaka bingwa awe manchester city licha ya kwamba hawa pia ni wapinzani wetu (wanaonekana kuwa ni wapinzani dhaifu kihistoria ya mafanikio)
kwa nini liverpool awe bingwa: Nilielekeza hoja zangu maeneo yafuatayo
  1. squad depth ya liverpool ni dhaifu hivyo basi hawatokuwa na nguvu ya kuleta ushindani kwa misimu miwili hadi mitatu kwa wachezaji walionao, itakuwa ni rahisi kuwaondoa kileleni pindi tutakapokuwa serious kwa soka la ushindani.
  2. FSG wanafanana na familia ya glazer kimatumizi na uendeshaji wa timu hivyo niliamini liverpool hawatokuwa na jeuri ya kufanya usajili wa nguvu kwa kila msimu ukilinganisha na manchester city
  3. aina ya wachezaji anaowapenda klopp ni wale wasiotambulikana kwa kiasi kikubwa sana kwenye soka la bara la ulaya(mwenyewe hujificha kwenye hoja ya mfumo), tofauti na guardiola anayevutiwa zaidi na top players waliokwisha tengenezwa huko watokwako.
kwa ufupi sikutaka kuwa mtumwa wa historia za wazungu na kwangu niliangalia zaidi nyakati tulizopo, man city nilianza kuwaogopa tokea siku ile waliofanikisha usajili wa robinho kutoka real madrid na baadae yaya toure kutoka barcelona

Siwezi kumuogopa klopp asiyekuwa na uhakika wa bajeti ya usajili huku nikiendelea kumuombea mazuri guardiola mwenye uwezo wa kumsajili athan ake kwa paundi millioni 40.

====================
fuentte, Bello na wadau wengineo niliowasahau bado munaendelea kuwa na msimamo wa kuwaombea mazuri zaidi manchester city kuliko liverpool hii inayosajili mchezaji wa daraja la kwanza?
Mi ninachojua ndani ya misimu kumi ya pep atabeba epl mara sita au saba izo tatu atatuachia sie....huu ni msimu wa tano tayari anaelekea kuchukua ndoo ya tatu...
 
Pamoja na kwamba man city anaongoza ila arsenal kimbinu wapo vizur
 
Kitoabu ndugu yangu ulifanikiwa kuuza simu ili ununue vifaa vya mgodini? Angalia leo usikose kuangalia kipigo kitakatifu kutoka kwa Miamba New Castle.

Kwa wale wa New Castle tujuane mapema kabisa..
Here We Goo
Come on Nu Casto ..kila la kheri..

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Unatishia kujamba wakati unaharisha, ngoja leo niwafumue hao vibonde wenzio ndio ujue hii nafasi utaishia kuisikia tu msimu huu.
 
nakumbuka katikati ya msimu wa 2018/2019 humu ndani kulizuka mjadala mkubwa sana uliojaribu kuangazia au kuonyesha ni upi upande sahihi ambao mashabiki wa manchester united wanapaswa waegemee kwa muda.
  1. wengine tulitaka bingwa awe liverpool bila ya kujali historia kubwa ya kiupinzani iliopo
  2. wengine walitaka bingwa awe manchester city licha ya kwamba hawa pia ni wapinzani wetu (wanaonekana kuwa ni wapinzani dhaifu kihistoria ya mafanikio)
kwa nini liverpool awe bingwa: Nilielekeza hoja zangu maeneo yafuatayo
  1. squad depth ya liverpool ni dhaifu hivyo basi hawatokuwa na nguvu ya kuleta ushindani kwa misimu miwili hadi mitatu kwa wachezaji walionao, itakuwa ni rahisi kuwaondoa kileleni pindi tutakapokuwa serious kwa soka la ushindani.
  2. FSG wanafanana na familia ya glazer kimatumizi na uendeshaji wa timu hivyo niliamini liverpool hawatokuwa na jeuri ya kufanya usajili wa nguvu kwa kila msimu ukilinganisha na manchester city
  3. aina ya wachezaji anaowapenda klopp ni wale wasiotambulikana kwa kiasi kikubwa sana kwenye soka la bara la ulaya(mwenyewe hujificha kwenye hoja ya mfumo), tofauti na guardiola anayevutiwa zaidi na top players waliokwisha tengenezwa huko watokwako.
kwa ufupi sikutaka kuwa mtumwa wa historia za wazungu na kwangu niliangalia zaidi nyakati tulizopo, man city nilianza kuwaogopa tokea siku ile waliofanikisha usajili wa robinho kutoka real madrid na baadae yaya toure kutoka barcelona

Siwezi kumuogopa klopp asiyekuwa na uhakika wa bajeti ya usajili huku nikiendelea kumuombea mazuri guardiola mwenye uwezo wa kumsajili athan ake kwa paundi millioni 40.

====================
fuentte, Bello na wadau wengineo niliowasahau bado munaendelea kuwa na msimamo wa kuwaombea mazuri zaidi manchester city kuliko liverpool hii inayosajili mchezaji wa daraja la kwanza?
Liverpool anatakiwa asubiri miaka mingine 30 ndo abebe tena ubingwa.
 
Hii game hatushindi Sababu ya Martial na lindelof ..kocha wetu anabeti leo rasmi tunaamia mtaa wa 3
 
Back
Top Bottom