21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,299
- 2,843
Nyumbu poleni
Ila compared na Manchester United nani aliyepoteza nafasi nyingi za wazi?Everton hawajapoteza nafasi za wazi?
Ni kweli ni individual error ndio zinatuangusha lakini kitendo cha kujirudia rudia kila mechi huoni naye anawajibika kwenye hilo mkuu?OGS yupo sahihi, were not title chaser, tunaruhusu kufungwa magoli mepesi vile tutachukuaje ubingwa?
Kama Degea anafanya makosa kama yale unataka OGS asemaje?
Kama Maguire Linderlof na Fred hawafanyi marking mpaka James Rodguez anapokea pass anajiandaa ana'shoot ndani ya 18 bila ya kugasiwa unafikir OGS atasemaje?
Kama Rashford jana kapoteza nafasi mbili za wazi unataka OGS asemaje?
Ile game na Asernal Cavan n Rashford n co walikosa open chance unataka OGS asemaje?
Jana Tuanzebe kafanya kosa ikawa faulo, timu imeshindwa jilinda sikunde tu mpira uishe unataka OGS asemaje?
Pep ashindwe mwenye kubeba EPL this season
Nilichofurahi OGS anayaona mapungufu ya wachezaji wake, dirisha kubwa ayafanyie kazi mapungufu ili 2021/2022 season tuwe real competitorView attachment 1696716
OGS ni mdudu gani uyoIla compared na Manchester United nani aliyepoteza nafasi nyingi za wazi?
Au ulitaka OGS aingie ndani akabe ile faulo ya last minutes?
Usidanganyike na maneno ya umu JF, Dean Herderson bado hajaiva kukaa pale golini mkuu, ndio maana anazoeshwa taratibu na vimechi vya FA na Europer, Peter Schumeichel alishawai zungumzia hili ktk interview zake, alisema pressure ya kuwa mlinda mlango #1 Shielfied ni dunia tofaut na kuwa #1 OTNi kweli ni individual error ndio zinatuangusha lakini kitendo cha kujirudia rudia kila mechi huoni naye anawajibika kwenye hilo mkuu?
Mfano mzuri goli la kwanza limetokana na ujinga wa maguire pamoja na de gea,lakini mechi ijayo watakuwa ndani tena kutugharimu hivi.
Ni kama OGS anakosa sauti kwa baadhi ya wachezaji ndio maana hii tabia huwa inajirudia rudia.
Kocha anapaswa kufundisha timu yake jinsi ya kukaba/kuzuia , alipaswa kufanya sub ya kiungo mapema Everton walioneakana wanatawala katikati benchi kulikuwa na VDB & Matic hakukuwa na sababu kumuingiza TuanzebeIla compared na Manchester United nani aliyepoteza nafasi nyingi za wazi?
Au ulitaka OGS aingie ndani akabe ile faulo ya last minutes?
Mpaka everton wanasawazisha ni sisi Machester tulikua tunatawala mchezo kuanzia kiungo mpaka kushambulia,Kocha anapaswa kufundisha timu yake jinsi ya kukaba/kuzuia , alipaswa kufanya sub ya kiungo mapema Everton walioneakana wanatawala katikati benchi kulikuwa na VDB & Matic hakukuwa na sababu kumuingiza Tuanzebe
Usidanganyike na maneno ya umu JF, Dean Herderson bado hajaiva kukaa pale golini mkuu, ndio maana anazoeshwa taratibu na vimechi vya FA na Europer, Peter Schumeichel alishawai zungumzia hili ktk interview zake, alisema pressure ya kuwa mlinda mlango #1 Shielfied ni dunia tofaut na kuwa #1 OT
Kwa beki tulizonazo pale Carington hakuna wa kumuweka bechi Maguire pamoja na mapungufu yake
OGS anachofanya anatumia wachezaji alionao pa1 na kuwaboresha viwango vyao
Unasema una mashaka na OGS! Sawa nakuliza swali,
kabla msimu huu 2020/2021 haujanza uliwaza mpaka kufika leo Feb 07 tungekua nafasi tuliyopo ktk EPL Table??
3 SHOTS ON TARGET,3 GOALS! Hapa tunaongelea ubora upi wa de gea dhidi ya henderson?Mpaka everton wanasawazisha ni sisi Machester tulikua tunatawala mchezo kuanzia kiungo mpaka kushambulia,
Tuanzebe kawa kafala kwasababu everton walisawazisha goli tofaut na hapo wala maneno yasingekuwepo, na baada ya faulo jukumu la kulinda ile faulo si ni la timu nzima?
Mara ngap uwa ananzishwa Matic washabik tunalalamika Matic yupo slow, mara ngap dogo VDB ananzishwa anazingua wakuu?
James Rodguez anapigiwa pass yupo alone ndani ya 18 anajiandaa ana'shoot uku Fred anamkaba kwa macho, ulitaka OGS aingie akabe? Na kumbuka huyu Fred kwa mechi zetu msimu huu kawa the best DM
Kuongoza mechi sio kutawala mechi ,kutawala game ni ku-neutralize threat za mpinzani wako baada ya kufungwa midfield ya Everton (Doucoure,Gomez & James ) ilikuwa inapambana kurudisha magoli na wawili ndio wamefunga magoli.Baada ya kurudisha magoli 2 it was clear Everton strength yao ilikuwa katikati kabla ya kufika dakika za 80 kocha angeongeza kiungo katikati kupunguza pressure ya EvertonMpaka everton wanasawazisha ni sisi Machester tulikua tunatawala mchezo kuanzia kiungo mpaka kushambulia,
Tuanzebe kawa kafala kwasababu everton walisawazisha goli tofaut na hapo wala maneno yasingekuwepo, na baada ya faulo jukumu la kulinda ile faulo si ni la timu nzima?
Mara ngap uwa ananzishwa Matic washabik tunalalamika Matic yupo slow, mara ngap dogo VDB ananzishwa anazingua wakuu?
James Rodguez anapigiwa pass yupo alone ndani ya 18 anajiandaa ana'shoot uku Fred anamkaba kwa macho, ulitaka OGS aingie akabe? Na kumbuka huyu Fred kwa mechi zetu msimu huu kawa the best DM
Hehehe timu inayoshuka daraja inasajili kocha aliyetoka kushusha timu daraja naona mnatunza utamaduni.
Leicester aliishia nafas ya 5' kwaio mjiandae kisaikolojia View attachment 1696632
Nilishawahi kuuliza humu anaejua ogs anapotupeleka aniambie sijawahi kupewa jibu hata siku moja....Kwnye post match interview OGS anasema 'WE SHOULD NOT BE CONSIDERED TITLE CHASER",unajiuliza anapungukiwa na kitu gani hadi sasa yule mbaba jamani!
Natamani nitafute hobby nyingine itakayoniondolea uteja wa mpira kipindi hiki ole akiwa manager wa united
Kwa sababu unajibu lako sisi tunajua anatupeleka kutwaa matajiNilishawahi kuuliza humu anaejua ogs anapotupeleka aniambie sijawahi kupewa jibu hata siku moja....
Liverpool akishinda wewe ndo utakuwa bingwa?Liverpool leo anashinda hawa ManCity kamasi zawatiritika
Hehehe data za Villa kutotumia pesa umeokota kijiwe cha wapi?Wewe nilikwambia huyo arteta angepewa shefield united au cadif zinashuka vizur tu kama una wakina aubameyang,lacazatte,pepe na partey upo huku View attachment 1696865
Vipi kama angepewa cadif?
Yaani hao niliowataja wananunua ile cadif na chenj juu au molde huyo kocha wenu anahangaika balaa yaani had moyes ambae hajafanya usajir na aston villa washamkata gepu ina maana arsenal sio big 6 ni timu ya daraja la kati had muda huu mnapamban kujinasua kushuka daraja