Beki kisikiAondoke kwanza Maguire. Huyo ndo tatizo kubwa pale nyuma.
Degea akae benchi. Kiwango kimeisha.
Tuanzebe, Martial watafutiwe pa kutokea.
Ndio maana pep alighairi kumsajiliBeki kisikiView attachment 1696458
Kweli kasema haya?Mentality ya kocha hiyo.View attachment 1696448
Huyo ukimzoea huwa hakeri bali anachekesha.Hivi unajua kama unakera sana mzee wa kazi!!?
Tuanzebe alikuwa kiungo au unadhani aliingia kama nani?Goli la 3 faulo kacheza tuanzebe kiungo anahusikaje?
Kiwango chake sio cha kuichezea timu kama Man United, hili liko wazi kabisa. Ila kumuita nyani sio kitu sahihi.Siyo ubaguzi hana kiwango ila kumuita...ni kutojitambua
Usingizi umekata kmkkk..
Nina hasira sana aisee..
Labda kama kulikuwa na sababu tofauti na kawaida lakini Marcos ni mara 1 na nusu ya Lindelof.Unawezaje kuwaacha hawa watu?View attachment 1696353
Labda kama kulikuwa na sababu tofauti na kawaida lakini Marcos ni mara 1 na nusu ya Lindelof.
Well said Chief...Rashford ni moto mkubwa. Watu wana tabia ya kulaumu wachezaji wasiowapenda. Naona hapa mnashusha lawama kwa Lindelof na Maguire. Hawa ni mabeki makini sana. Kitu cha muhimu kujua ili timu pinzani ishinde ni beki anakuwa kafanya makosa fulani. Usitegemee goli lifungwe kwa uzembe wa straika.huyo rashford munaemponda kwamba ni mchoyo ndo huyo huyo amepiga cross cavani kafunga kichwa, tatizo mashabiki wengi wa man u humu muna favourites, kuna watu hata wakizingua kwenu sawa ila wengine ni kosa wanakuwa mbuzi wa kafara.
cavani kakosa goli ngapi vs arsenal? angekuwa ni martial ama rashford yangekuwa matusi ya kutosha tu. so far rashford ndio forward wetu aliejitahidi kushinda wote msimu huu, na whoscored wamemtangaza kama man of the match mechi ya leo vs everton
View attachment 1696350
Hehehe timu inayoshuka daraja inasajili kocha aliyetoka kushusha timu daraja naona mnatunza utamaduni.Pamoja na hayo halafu zero mafanikio chelsea kashuka karudi kabeba had ndoo za uefa manchester united kashuka karudi kukipita kila kitu
kwa sasa arteta anawatumbukiza huko bunrley mshindano wako na brighton wanakuja kwa kasi mkae chonjo