computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
Kila siku upo jukwaa letu ila nakukumbusha una michezo 2 umecheza zaidi ya kipara na points kakupita piaBora sijaingalia hiyo game, ningepewa kesi ya kuvunja tivi ya watu bure.











Kila siku upo jukwaa letu ila nakukumbusha una michezo 2 umecheza zaidi ya kipara na points kakupita piaBora sijaingalia hiyo game, ningepewa kesi ya kuvunja tivi ya watu bure.











Hehehe timu inayoshuka daraja inasajili kocha aliyetoka kushusha timu daraja naona mnatunza utamaduni.
Martial na Rashford hawazidiani sana ujinga..they are in the same level tbh.Well said Chief...Rashford ni moto mkubwa. Watu wana tabia ya kulaumu wachezaji wasiowapenda. Naona hapa mnashusha lawama kwa Lindelof na Maguire. Hawa ni mabeki makini sana. Kitu cha muhimu kujua ili timu pinzani ishinde ni beki anakuwa kafanya makosa fulani. Usitegemee goli lifungwe kwa uzembe wa straika.
Kila siku upo jukwaa letu ila nakukumbusha una michezo 2 umecheza zaidi ya kipara na points kakupita pia![]()
Yeye ndiye kaua offside, kuna wajinga wengi sn pale utd kwa zama hizi.Martial na Rashford hawazidiani sana ujinga..they are in the same level tbh.
Maguire ni captain mpuuzi kabisa kwenye historia ya hii klabu..Mara kibao tu anakuwa cought kwenye wrong positions.
Goli la kwanza la Everton pia anazunguka kama vile roboti..pale ilibidi asafishe ule mpira nje au aubadilishe direction.Yeye ndiye kaua offside, kuna wajinga wengi sn pale utd kwa zama hizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mukiendelea ku drop point hiv sisi tutakuja aste aste unakuja stuka muko nafasi ya saba. Sa muhimu inatakiwa musibebe kombe lolote lile msimu huu na misimu mingine kama mitano hivi mbele



SawaMkuu tuache kidogo, tuna kikao cha family.
Ungemwambia shabiki mwenzako kwanza.
OGS yupo sahihi, were not title chaser, tunaruhusu kufungwa magoli mepesi vile tutachukuaje ubingwa?Kwnye post match interview OGS anasema 'WE SHOULD NOT BE CONSIDERED TITLE CHASER",unajiuliza anapungukiwa na kitu gani hadi sasa yule mbaba jamani!
Natamani nitafute hobby nyingine itakayoniondolea uteja wa mpira kipindi hiki ole akiwa manager wa united
Everton hawajapoteza nafasi za wazi?OGS yupo sahihi, were not title chaser, tunaruhusu kufungwa magoli mepesi vile tutachukuaje ubingwa?
Kama Degea anafanya makosa kama yale unataka OGS asemaje?
Kama Maguire Linderlof na Fred hawafanyi marking mpaka James Rodguez anapokea pass anajiandaa ana'shoot ndani ya 18 bila ya kugasiwa unafikir OGS atasemaje?
Kama Rashford jana kapoteza nafasi mbili za wazi unataka OGS asemaje?
Ile game na Asernal Cavan n Rashford n co walikosa open chance unataka OGS asemaje?
Jana Tuanzebe kafanya kosa ikawa faulo, timu imeshindwa jilinda sikunde tu mpira uishe unataka OGS asemaje?
Pep ashindwe mwenye kubeba EPL this season
Nilichofurahi OGS anayaona mapungufu ya wachezaji wake, dirisha kubwa ayafanyie kazi mapungufu ili 2021/2022 season tuwe real competitorView attachment 1696716
Mwanzo nilikua nampa lawama OGS ila kwasasa individual error ndio zinatuangushaNothing changes if nothing change.
Tunakosa nini cha kutufanya tusiwe title contenders msimu huu?
Leo tunaongelea beki ndio tatizo lakini niwakumbushe tu,united akirekebisha beki,kiungo kinakuwa tatizo,na akirekebisha kiungo ushambuliaji unakuwa butu. Hii inaonyesha tatizo ni kocha sema sitaki kusema sababu tumeambiwa tumhukumu mwisho wa msimu.
Makosa yote haya tunayosema ni tatizo la flani lakini unaona mechi inayofuata anaanza na makosa yanafanyika kwa usahihi ule ule,lakini tatizo linasemwa sio kocha.