Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hili bao la nne hata De Gea angefungwa tu kwa sababu huenda chini hata kabla mpira haujapigwa angepishana nao tu
 
Kipa wa Liver kavuta mpunga ?.

Hii liverpool wakulaumiwa ni kocha walipokuwa juu klopp hakuendelea kutafuta wachezaj wakubwa akarudi kule alipowatoa wakina salah na robertson walitakiwa kuendelea mbele habar za wachezaj wa £2 ndio wanawazamisha sasa sir alex hakuacha kununua wachezaj wakomavu hata kama wakina welbeck walichukuliwa toka kwenye academy ndio siri ya manchester united kutawala soka la england kwa muda mrefu
IMG_0231.jpg

Angalia kama hapo huo ni mfano tu bado tevez, rooney
 
Poa msukule wa kijiwe cha Arsenal

Unafikir mm mtoto mwenzio kwamba ukitumia lugha kama hizo ntaingia huko kwenye huo ujinga na upuuzi we dogo hapa umefulia hizo kauli zilikuwa zikitolewa na washamba wa jf miaka ya 2014 huko now days wajinga ndio wanaendeleza hizo ligi za lugha za hovyo hapa unakimbizwa mdogomdogo kadri unavyopanic ndipo unafunua ubongo wako wa ujinga
 
Back
Top Bottom