Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pogba forced sub by injury, De Gea horror, and last minute unforced free kick explains why we lost two points
PSX_20210207_005751.jpg
PSX_20210207_005804.jpg
PSX_20210207_005818.jpg
 
Nilijua tu Tuanzebe lazima achomeshe kitu..faulu za kijinga kabisa..Aondoke huyu mpuuzi

Us.enge mtupu.

Rashford naye anachezea sana nafasi.

Another shaky defence.

De Gea poor again.

Weekend imearibika kabisa.

Top four race ndo imeanza rasmi leo.
 
Hapa hamna kocha wazee uongo mbaya unawezaje kumtoa greenwood ambae alikuwa akipora mipira mara nyingi na kumuacha rashford

Halafu tayar kaua saikolojia ya tuanzebe kafanya kosa tena
 
Ngoja niangalie highlight za perfomance ya amad diallo nilale zangu, maana huyu muafrika ameshakua sehemu ya historia tena duniani kwa mara nyingine(tuanzebe) anafanya ujinga wa wazungu kabisa
 
defence-wakabaji, lile goli la pili la james sijui nimeliona mara ya ngapi msimu huu tunafungwa same story leicester, shefield etc si tatizo la beki bali kiungo mkabaji anashindwa kunusa hatari zile.

Goli la 3 faulo kacheza tuanzebe kiungo anahusikaje?
 
Mnajidanganya sana humu

Unataka kuwa Title contender kwa DEFENCE ipi???

Defence ya Manchester United is not good enough to compete for EPL TITLE.
 
Hapa hamna kocha wazee uongo mbaya unawezaje kumtoa greenwood ambae alikuwa akipora mipira mara nyingi na kumuacha rashford

Halafu tayar kaua saikolojia ya tuanzebe kafanya kosa tena
refa naye mpira ulishaisha, wakati tunapiga foul yetu ilikuwa ni dakika 94,
 
Tuanzebe ni
Faulo nje ya 18 alikuwa anazuia goli gani??
Ole nae sub dk za nyongeza zisizo na mashiko
 
Goli la 3 faulo kacheza tuanzebe kiungo anahusikaje?
goli la kwanza na 3 de gea yanamhusu vizuri tu, goli la 3 halina tofauti na goli la RB leipzig beki ana communicate na kipa, na kipa anasita kutoka.
 
Back
Top Bottom