The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Leo ni mechi imetuumiza sn mashabiki dunia nzima, yn magoli ya kipuuzi sn tumefungwa leo licha ya forward line kupambana.Kwamba hawa hawajui kwamba kuna upuuzi?
Kwanza sijawahi kuzungumzia ubingwa kamba ole atabeba hakuna hiyo post humu huwa napenda timu ishinde tu hamna kocha wa ubingwa paleView attachment 1696342
Sent using Jamii Forums mobile app
★

★
★