Nani man of the match
Nani man of the match
Kbsa mkuu! Yan marking ya man to man kwnye box letu ni poor kbsa hata game ya arsenal walikua na nafas ya kutufunga goli kama lile!defence-wakabaji, lile goli la pili la james sijui nimeliona mara ya ngapi msimu huu tunafungwa same story leicester, shefield etc si tatizo la beki bali kiungo mkabaji anashindwa kunusa hatari zile.
refa naye mpira ulishaisha, wakati tunapiga foul yetu ilikuwa ni dakika 94,
Huyo kocha ni king'ang'anizi kisenge, Kuna kipind lingard alikuw anazngua lakn Kila game anaanza au anaingia sub, Hadi wadau tukawa tunahisi labda anamkata sister wake lingardKila siku anatuuwa lkn kocha bado anampa games tena anamuingiza mda wa pressure wkt anamjua beki mwenyewe tia maji tia maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Magwaya ni political figure pale kati, ukichukua na lindelof ndo unapata presha kabisaa, muda wowote hawa majamaa wanaacha kukabia miguu wanakabia macho
huyo kocha mjinga ndio amekusababishia hii meltdown kwa kukuweka roho juu na ukapata hopes za ubingwa, mpeni respect yake.Cavan alikaa chini sana zile sekunde ila hata moss si refarii mzur bado sio sababu ya hii timu yenye bek mbov na kocha mjinga kushindwa kubeba lawana hata kocha angeongeza dakika 100 kama unaukuta wa maana hata ka moja kanakaaa milele
Huyo kocha ni king'ang'anizi kisenge, Kuna kipind lingard alikuw anazngua lakn Kila game anaanza au anaingia sub, Hadi wadau tukawa tunahisi labda anamkata sister wake lingard
Msimu uliopita de gea kachoma Sana ila Kila game alikuw anaanza yeye huku Romeo yupo form
Baily vs Lindelof
Kifupi tutegemee kumuona Tuanzebe sana tu. Maana ole ni Kama kijana ambae ashapenda afu watu wanamwambia amuache mpenzi wake, huwa anawaona hao watu kam wanampigia kelele na ndo anazd kampenda mpenz wake
Magwaya ukiachana na mipira ya vichwa, mguuni yuko unga sana, zero body control zero skillsKuna ile moja limejiangusha halafu li mtu la mwisho bahat nzur richalison alipiga vibaya wangechomoa mapena sana
Chief-Mkwawadefence-wakabaji, lile goli la pili la james sijui nimeliona mara ya ngapi msimu huu tunafungwa same story leicester, shefield etc si tatizo la beki bali kiungo mkabaji anashindwa kunusa hatari zile.
Beki ni Bailly ambaye huwa anaficha makosa ya Maguire, tatizo lake pancha nyingi so na suggest man imuachie linderlof aende isajili beki ya kusaidiana na Maguire pindi Bailly akiumia.Bila beki mbili za kati mpya kabisa msimu ujao hatubebi kombe, maana naona msimu huu nyau anaangukia jikoni mapemaaa
Wameharibu sifa za goli tamu la Bruno aisee, kesho ilikuwa wimbo ni Bruno.Magwaya ni political figure pale kati, ukichukua na lindelof ndo unapata presha kabisaa, muda wowote hawa majamaa wanaacha kukabia miguu wanakabia macho