Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii Sub ya Tuanzebe na matokeo haya .

Ni vitu ambavyo vimejirudia kwa Mara ya pili.
Screenshot_20210207-011823.jpg
Screenshot_20210207-011759.jpg
 
Beki ni Bailly ambaye huwa anaficha makosa ya Maguire, tatizo lake pancha nyingi so na suggest man imuachie linderlof aende isajili beki ya kusaidiana na Maguire pindi Bailly akiumia.

Alafu ningependa kile kitambaa avuliwe Maguire apewe Bruno.

El matador anajituma sn kwakweli anakaba mno, leo wapinzani wetu wameona jinc gn man utd ilivyo kwa ss na ndiyo maana japo tumetoa sare ila hawaongei sn wameona soka tulilopiga isipokuwa kuna wajinga wachache bado wanatu cost na sidhani kama wataondoka labda aje kocha mwengine.

Ole amejitahd kujenga kikosi but hatoweza kukipa mafanikio, aje kocha mwengine mwenye uzoefu atimue wasenge wachache waliobaki kina Martial, linderlof, tuanzebe alafu ahakikishe rashford asiwe anaanza, hapo hakuna tm itatusumbua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bailly tatizo spana mkononi, zinatakiwa beki mbili vitasa watu wagombanie namba, soon tutamuona magwaya kama latest version ya jones
 
Rashford anatakiwa kuachana na siasa za vyakula vya watoto,ajikite zaidi katika kukuza kipaji chake.

Leo kakosa nafasi mbili za wazi kabisa bahati mbaya hii si mara ya kwanza huu umekuwa sehemu utaratibu wake.

Man wanatatizo la baki wa kati kwa muda mrefu,kuumia kwa Bailly kumezidisha machungu.
Cavani huwa analalamika sana, haka katoto kachoyo kana mpira wa kitoto sn, hakajui kutumia akili kufunga, kenyewe kanawaza mashuti tu, alafu kwa bahati mby clear chances huwa zinamfata yeye tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chief-Mkwawa
Hayo magoli unayosema against Leicester na Sheffield ni huyo huyo TUANZEBE ndio aliwacost the same kwa Everton pia Goli la 3 ni yeye pia.
Huyu Chief-Mkwawa kuna wakati huwa simwelewi kabisa, huyu wkt mwingine km mko vitani inapaswa atangulizwe mbele Mana ukimwambia adui wapo karibu yeye anakuambia hapana co maadui hao ni wenzetu.

Huwa wakati mwingine ananiudhi sn mm sema huwa namvumilia tu.

Mpira uko wazi na makosa yameonekana kabisa yeye anakazana na miono yake ya ajabu vipi huyu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Olee tumepigwaaa aseeehsasa kulikuwaa na ulazimaa upii wa kumtoaa greenwood na kumuingizaa Tuanzebe kmk,,,,,
 
huyo kocha mjinga ndio amekusababishia hii meltdown kwa kukuweka roho juu na ukapata hopes za ubingwa, mpeni respect yake.

Kwamba hawa hawajui kwamba kuna upuuzi?

Kwanza sijawahi kuzungumzia ubingwa kamba ole atabeba hakuna hiyo post humu huwa napenda timu ishinde tu hamna kocha wa ubingwa pale
IMG_0248.png
 
Chief-Mkwawa
Hayo magoli unayosema against Leicester na Sheffield ni huyo huyo TUANZEBE ndio aliwacost the same kwa Everton pia Goli la 3 ni yeye pia.
goli la leicester alikuwa mc tominay, shefield ni tuanzebe deflection na leo tunafungwa goli la pili Tuanzebe hayupo uwanjani.

si kila error ya goli ni tatizo la beki, kuitafsiri kauli ya fergie defense si mabeki tu, ina involve ukabaji kwa ujumla, angalia hii clip ya goli la pili

inawaonesha vizuri fred na Mc tominay, angalia fred mpaka anamwambia rashford aka mark wing ya everton ila anashindwa ku spot threat ya james, angalia mc tominay alivyotoka nyuma na kwenda kubanana na lindelof sehemu moja na ameshindwa ku spot hio threat.

kwa macho ya kawaida hapo unalaumu beki, lindelof alikuwa na richalson na maguire alikuwa na lewin, ila ikabidi waondoke fasta kujaribu kublock, matic na uzee wake ni nadra kukuta chance kama hizo zinatokea, fred na mc tominay wote wanajua tu kukaba ila kujiposition na kukaba nafasi badala ya watu wanatakiwa ku improve zaidi.
 
Huyu Chief-Mkwawa kuna wakati huwa simwelewi kabisa, huyu wkt mwingine km mko vitani inapaswa atangulizwe mbele Mana ukimwambia adui wapo karibu yeye anakuambia hapana co maadui hao ni wenzetu.

Huwa wakati mwingine ananiudhi sn mm sema huwa namvumilia tu.

Mpira uko wazi na makosa yameonekana kabisa yeye anakazana na miono yake ya ajabu vipi huyu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyu huyu anakujaga na starts za martial na rashford ambao kila mech 7 au hadi 10 wanafunga goli moja anawasifia balaa
 
Nilijua tu Tuanzebe lazima achomeshe kitu..faulu za kijinga kabisa..Aondoke huyu mpuuzi

Us.enge mtupu.

Rashford naye anachezea sana nafasi.

Another shaky defence.

De Gea poor again.

Weekend imearibika kabisa.

Top four race ndo imeanza rasmi leo.
David Degea niliwahi kuandika hapa mwaka jana Nov, 29 tukiwa tunaanza msimu mpya. Huyu watu wachache sana wanaona ila kwa sasa hatufai uwezo wake umeshuka sana. Ni muda sahihi sasa Dean Henderson kuwa namba moja.

Huyu jamaa ananikumbusha jinsi Real Madrid ilivyowachukua muda mrefu sana kukubali ukweli kwamba Iker Casillas ameisha.

David de Gea, kwa sasa sio yule hana performance consistency pia ana technical errors nyingi sana huwa anafungwa magoli mengi sana ya kimakosa kwa sasa.

Pia, Eric Bailly timu kwa sasa inamuhitaji sana lile eneo la ulinzi bora hata awe anapigwa sindano ili tumalize hizi mechi 15 zilizosalia. Maguire-Linderlof chenga sana hamna kitu pale. Hawa wapumbavu wapo slow sana na wana makosa kibao.
 
Ila OGS anatuangusha sana kwenye sub aiseee... yani kuna makosa uwanjani unayaona kabisa kwa macho ya kawaida lakini yeye anafanya tofauti. Mimi nilishout sana bandani nilipokuwa naangalia kwamba amtoe Rashford aingie Matic au VDK ili kuongeza nguvu katikati kuwazuia Everton wasishambulie. Alichokifanya Ole yani nimetokana banda zima kmmk.
I am very disappointed indeed
 
HARRY MAGUIRE

Huyu jamaa Anaweza kuwa very foolish Captain in Manchester United History.
Kocha angelikuwa anaona mbali angelimvua tambala ampe Bruno ili kumfanya asiwaze kuondoka mana mchezaji km Bruno itafika kipindi ataanza kuwaza ballon dor, ss akiona hawezi kuipata akiwa man u anatafuta kwengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HARRY MAGUIRE

Huyu jamaa Anaweza kuwa very foolish Captain in Manchester United History.

Aisee hilo nilisema wakat naangalia mpira goli la kwanza tu nikasema hapa hamna captain akajiangusha tukakosawa na richalison nikawaza hapa madogo wanajifunza nn toka kwa huyu jamaa maana alikuwa anachoma ina maana ni kawaida kufanya makosa

Ole anapenda uingereza unamuangamiza kama lampard

Marcos rojo kaondolewa kuwapisha wakina tuanzebe na williams pengine ile sub angemuingiza telles
 
Tuanzebe

Kachoma na Leicester

2-2

Tukapoteza point


Kachoma na shieldfield united

Kukapigwa 1-2

Tukadrop point

Kachoma na everton

Tumetoka 3-3

Tumedrop point

Hzo mechi zote OT Tena za kukaa on top of the league

Wambague tu hyu Nyani

Tuanzebe plays against us
Axel Tuanzebe kila mtu anajua ni mpuuzi ila hatuwezi ku-challenge chochote kama Degea-Maguire-Linderlof hii combination ikiendelea kufanya ujinga. Huyu Axel ni ujinga wa mwalimu mwenyewe kuendelea kumtumia.

Ila watu wanaotugharimu sana kwa sasa ni hawa watatu Degea-Maguire-Linderlof. Wana makosa mengi sana ya kiufundi. Suluhu ya haraka haraka kwa sasa Dean anapaswa aingie kikosi kama golikipa namba moja yule Maguire-Linderlof mmoja aanze kukaa pembeni ni kheri hata apandishwe mtoto chini huko ila sio hawa wajinga waendelee kucheza pamoja.
 
Back
Top Bottom