Beki ni Bailly ambaye huwa anaficha makosa ya Maguire, tatizo lake pancha nyingi so na suggest man imuachie linderlof aende isajili beki ya kusaidiana na Maguire pindi Bailly akiumia.
Alafu ningependa kile kitambaa avuliwe Maguire apewe Bruno.
El matador anajituma sn kwakweli anakaba mno, leo wapinzani wetu wameona jinc gn man utd ilivyo kwa ss na ndiyo maana japo tumetoa sare ila hawaongei sn wameona soka tulilopiga isipokuwa kuna wajinga wachache bado wanatu cost na sidhani kama wataondoka labda aje kocha mwengine.
Ole amejitahd kujenga kikosi but hatoweza kukipa mafanikio, aje kocha mwengine mwenye uzoefu atimue wasenge wachache waliobaki kina Martial, linderlof, tuanzebe alafu ahakikishe rashford asiwe anaanza, hapo hakuna tm itatusumbua.
Sent using
Jamii Forums mobile app