GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,380
Hii Sub ya Tuanzebe na matokeo haya .
Ni vitu ambavyo vimejirudia kwa Mara ya pili.
Ni vitu ambavyo vimejirudia kwa Mara ya pili.
Bailly tatizo spana mkononi, zinatakiwa beki mbili vitasa watu wagombanie namba, soon tutamuona magwaya kama latest version ya jonesBeki ni Bailly ambaye huwa anaficha makosa ya Maguire, tatizo lake pancha nyingi so na suggest man imuachie linderlof aende isajili beki ya kusaidiana na Maguire pindi Bailly akiumia.
Alafu ningependa kile kitambaa avuliwe Maguire apewe Bruno.
El matador anajituma sn kwakweli anakaba mno, leo wapinzani wetu wameona jinc gn man utd ilivyo kwa ss na ndiyo maana japo tumetoa sare ila hawaongei sn wameona soka tulilopiga isipokuwa kuna wajinga wachache bado wanatu cost na sidhani kama wataondoka labda aje kocha mwengine.
Ole amejitahd kujenga kikosi but hatoweza kukipa mafanikio, aje kocha mwengine mwenye uzoefu atimue wasenge wachache waliobaki kina Martial, linderlof, tuanzebe alafu ahakikishe rashford asiwe anaanza, hapo hakuna tm itatusumbua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kabisaWameharibu sifa za goli tamu la Bruno aisee, kesho ilikuwa wimbo ni Bruno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Cavani huwa analalamika sana, haka katoto kachoyo kana mpira wa kitoto sn, hakajui kutumia akili kufunga, kenyewe kanawaza mashuti tu, alafu kwa bahati mby clear chances huwa zinamfata yeye tu.Rashford anatakiwa kuachana na siasa za vyakula vya watoto,ajikite zaidi katika kukuza kipaji chake.
Leo kakosa nafasi mbili za wazi kabisa bahati mbaya hii si mara ya kwanza huu umekuwa sehemu utaratibu wake.
Man wanatatizo la baki wa kati kwa muda mrefu,kuumia kwa Bailly kumezidisha machungu.
Huyu Chief-Mkwawa kuna wakati huwa simwelewi kabisa, huyu wkt mwingine km mko vitani inapaswa atangulizwe mbele Mana ukimwambia adui wapo karibu yeye anakuambia hapana co maadui hao ni wenzetu.Chief-Mkwawa
Hayo magoli unayosema against Leicester na Sheffield ni huyo huyo TUANZEBE ndio aliwacost the same kwa Everton pia Goli la 3 ni yeye pia.
huyo kocha mjinga ndio amekusababishia hii meltdown kwa kukuweka roho juu na ukapata hopes za ubingwa, mpeni respect yake.
goli la leicester alikuwa mc tominay, shefield ni tuanzebe deflection na leo tunafungwa goli la pili Tuanzebe hayupo uwanjani.Chief-Mkwawa
Hayo magoli unayosema against Leicester na Sheffield ni huyo huyo TUANZEBE ndio aliwacost the same kwa Everton pia Goli la 3 ni yeye pia.
Una hasira swali la kawaida tu hilo.Nani alishaiama Manchester United kitambo sana.
Huyu Chief-Mkwawa kuna wakati huwa simwelewi kabisa, huyu wkt mwingine km mko vitani inapaswa atangulizwe mbele Mana ukimwambia adui wapo karibu yeye anakuambia hapana co maadui hao ni wenzetu.
Huwa wakati mwingine ananiudhi sn mm sema huwa namvumilia tu.
Mpira uko wazi na makosa yameonekana kabisa yeye anakazana na miono yake ya ajabu vipi huyu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Una hasira utafikiri uliamini mtashindaArteta
David Degea niliwahi kuandika hapa mwaka jana Nov, 29 tukiwa tunaanza msimu mpya. Huyu watu wachache sana wanaona ila kwa sasa hatufai uwezo wake umeshuka sana. Ni muda sahihi sasa Dean Henderson kuwa namba moja.Nilijua tu Tuanzebe lazima achomeshe kitu..faulu za kijinga kabisa..Aondoke huyu mpuuzi
Us.enge mtupu.
Rashford naye anachezea sana nafasi.
Another shaky defence.
De Gea poor again.
Weekend imearibika kabisa.
Top four race ndo imeanza rasmi leo.
Huyu jamaa ananikumbusha jinsi Real Madrid ilivyowachukua muda mrefu sana kukubali ukweli kwamba Iker Casillas ameisha.
David de Gea, kwa sasa sio yule hana performance consistency pia ana technical errors nyingi sana huwa anafungwa magoli mengi sana ya kimakosa kwa sasa.
Una hasira utafikiri uliamini mtashinda
Huyu huenda ni mamluki huyu jamaa.Huyu huyu anakujaga na starts za martial na rashford ambao kila mech 7 au hadi 10 wanafunga goli moja anawasifia balaa
Kocha angelikuwa anaona mbali angelimvua tambala ampe Bruno ili kumfanya asiwaze kuondoka mana mchezaji km Bruno itafika kipindi ataanza kuwaza ballon dor, ss akiona hawezi kuipata akiwa man u anatafuta kwengine.HARRY MAGUIRE
Huyu jamaa Anaweza kuwa very foolish Captain in Manchester United History.
HARRY MAGUIRE
Huyu jamaa Anaweza kuwa very foolish Captain in Manchester United History.
Axel Tuanzebe kila mtu anajua ni mpuuzi ila hatuwezi ku-challenge chochote kama Degea-Maguire-Linderlof hii combination ikiendelea kufanya ujinga. Huyu Axel ni ujinga wa mwalimu mwenyewe kuendelea kumtumia.Tuanzebe
Kachoma na Leicester
2-2
Tukapoteza point
Kachoma na shieldfield united
Kukapigwa 1-2
Tukadrop point
Kachoma na everton
Tumetoka 3-3
Tumedrop point
Hzo mechi zote OT Tena za kukaa on top of the league
Wambague tu hyu Nyani
Tuanzebe plays against us