Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ole hamna kitu
Ole hamna kitu
Ole hamna kitu

Unataka ubingwa mpaka Sasa hujashinda game kubwa hata moja kwenye EPL

Hawa wapuuz arsenal Wana quality gani ya kutoa draw na sisi?

Tukipanga kikosi cha combine yetu na arsenal ni mchezaj mmoja tu ndo anaweza pata nafasi.

Hatuwezi chukua ubingwa na huyu kocha. Itakuwa ni kutufariji tu mwisho wa siku nothing
Kweli kabisa mkuu.
 
Nimeangalia mech kwa utulivu sana hii ole anajilewesha kikosi kiliachoanza ndio alitakiwa akitumie timu inacheza vizur sana cavan na fred watu muhimu sana kwa sosha

Hapa ndipo anaweza kutengeneza kikosi cha kwanza kamili

Shida ipo kwa rashford hiki nacho kirusi chief mkwaawa anawatetea sana hawa wapuuzi

Fred fred fred hatakiwi kukosa mech yoyote labda aumwe

Vijana wamecheza vizur sana
Kwenye kuucheza mpira hilo halina ubishi tatizo kuna wachezaji huwa wanatukosesha magoli mfano rashford na mwenzake Martial ni wajinga sn hawa watoto, huwa wanakosa magoli kizembe na kwa bahati mby huwa nafasi nzuri vinapata vyenyewe daah alafu vina namba kubwa mgongoni.

Hatuwezi kurudi kwenye makali yetu mpk hv vipumbavu viwe vinakaa benchi, yn tupate wachezaji wa ku replace hv vitoto na namba tuvibadilishe japo kamoja ndo kanatakiwa kaondoke kabisa kwenye hii timu.
 
Back
Top Bottom