I noticed indeedArsenal ni midtable wakati sheffield wanapambana kujinasua mkiani.
Note the difference.
Ivi mtu we! Ikatokea tukakufunga utaweka wapi sura yako?
Ni aibu sana kufungwa na arsenal hii iliyosheheni wachezaji wa mkopo karibia kila idara.
Leo ni mwendo wa fimbo tu, hakuna neno "ikitokea" kwenye kamusi ya arsenalIvi mtu we! Ikatokea tukakufunga utaweka wapi sura yako?
Saa mbili sio mbali
Uko upande gani bibie?I noticed indeed
Relegator kawafunga sembuse Arsenal ambae yuko kati?
Hivi Baily ana shida gani? Au ndo kwakua ni ngozi nyeusi🤔Ushindi ni lazima..View attachment 1690079
Partey huyuhuyu tunaemjua au mwingine🤔?Pogba, Bruno, tommy, Fred
Hao wote wamewekwa kupambana na partey
Leo mtapigishwa kila style hakuna rangi mtaacha kuona manyumbu
Saa 4 ulete msimamo wa Ligi kwenye jukwaa letu
LFCUko upande gani bibie?
Ningependa tu kufahamu japo si vibaya
Hahaha sawa sawa pepeta mchizi wangu ..ila man u achananayo njoo Chelsea huku, utapiga jiwe hatari zaid ya mzee LaizerChimbo hili mkuu ni JITEGEMEE sio MAKONGO no cha Mwajiri no cha tajili.
Ukiyapa yako na ulio fanya nao kazi, ukiyakosa unaendelea kutubu, no kula mpaka suruali inapasuka.
Mbaya zaidi ukikamatwa polini ni jela miezi 6 bila msamaha.
Kiufupi mkuu huku ni kama jela ya kujitakia tu.
Utamlaumu nani na shule tuliona uzushi?
Ngoja tuondelee kukaza.




Mzima kabisa..huyu Sosha anazingua tu.Hivi Baily ana shida gani? Au ndo kwakua ni ngozi nyeusi![]()