Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mashetani wa Manchester msife moyo na mna team nzuri sana,endeleeni kuwa nyuma ya team yenu
Bado hapa kuna yyt ambaye bado hayaogopi majogoo?
 
Kwenye kuucheza mpira hilo halina ubishi tatizo kuna wachezaji huwa wanatukosesha magoli mfano rashford na mwenzake Martial ni wajinga sn hawa watoto, huwa wanakosa magoli kizembe na kwa bahati mby huwa nafasi nzuri vinapata vyenyewe daah alafu vina namba kubwa mgongoni.

Hatuwezi kurudi kwenye makali yetu mpk hv vipumbavu viwe vinakaa benchi, yn tupate wachezaji wa ku replace hv vitoto na namba tuvibadilishe japo kamoja ndo kanatakiwa kaondoke kabisa kwenye hii timu.

Kavani alipata three chances clear mbona hakufunga?
 
Zile nafasi alizopata Cavan zingekuwa za kina Rashford na martial nafikiri mngewatoa machoo
 
KUNA KITU HAMTAKI KUSEMA, BRUNO HAKUWA KWENYE KIWANGO JANA. SHIDA ILIKUWA HAPO TU.
Sasa si wengine wangekua kwenye form. Umeandika ujinga

Labda niwape taarifa msimu ujao wembe ni ulele
Kama sio point 6 unanipa 4
 
Tuliwakula tunda kimasihara naona jana mmetunyima mchezo mageton

Tukutane msimu ujao

Hawa nyumbu ni wateja wetu kwa muda sana, ni mwaka wa 5 huu hawapati kitu.

Msimu ujayo tunahakikisha tunaondoka na point zote 6.
 
Kavani alipata three chances clear mbona hakufunga?
Nitajie strikers yeyote duniani ambaye hajawahi kukosa clear chances.

Inatokea Mara nyingine kukosa nafasi ya kufunga. ,,may be it wasn't a lucky day for cavani ,,

lakini sio kukosa clear chances kila mechi...kama rashfod na shoga yake..

Elmatador is a breast..
 
Nitajie strikers yeyote duniani ambaye hajawahi kukosa clear chances.

Inatokea Mara nyingine kukosa nafasi ya kufunga. ,,may be it wasn't a lucky day for cavani ,,

lakini sio kukosa clear chances kila mechi...kama rashfod na shoga yake..

Elmatador is a breast..
Kwamba el matador ni titi Tu😂
 
Hawa nyumbu ni wateja wetu kwa muda sana, ni mwaka wa 5 huu hawapati kitu.

Msimu ujayo tunahakikisha tunaondoka na point zote 6.

Ilibidi niangalie ktk hiyo miaka 5 nikaona arsenal kashinda 5 united 4 sasa mashabik wa burnley ya london mnavyoongea aisee unaweza sema hii timu miaka yote inashinda ila ni haki yenu sasa hiv huo ndio ubingwa wenu
IMG_0160.png
 
Back
Top Bottom