Siku hizi ni wakala.Mchukueni ndondo leo awasave
Mabingwa nyieKuanzia leo siangalii tena mechi za man u ni ungese huu
Hongerangoja ninunue k-vant ili nishushe pressure
Timu ambayo mashabiki wake wanalindwaHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAH.
Hii ndio MANCHESTER UNITED Ninayoijua sasa.
Tuliwafunga kwenu na hii sare mshangilie nyie mna ubavu gani wa kusare na sisi mkiwa na huyo Ole Sendeka wenu.Ole hamna kitu
Ole hamna kitu
Ole hamna kitu
Unataka ubingwa mpaka Sasa hujashinda game kubwa hata moja kwenye EPL
Hawa wapuuz arsenal Wana quality gani ya kutoa draw na sisi?
Tukipanga kikosi cha combine yetu na arsenal ni mchezaj mmoja tu ndo anaweza pata nafasi.
Hatuwezi chukua ubingwa na huyu kocha. Itakuwa ni kutufariji tu mwisho wa siku nothing
Ole out mkuda huyu ukocha hawezi
Ni mkosi kusare na mwanitesa united.Rashid kuna Mda huwa anaamua tu kutukera game hii hata kutoa droo ni aibu kubwa sana kwa Manchester United