Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_20210130-171958.jpg
 
Tukifungwa leo ni matatzo ya tactics za kocha au wachezaji wetu kucheza chini ya kiwango. Wachezaji wetu Wana quality kubwa mno kulinganisha hao utopolo arsenal
 
Tukifungwa leo ni matatzo ya tactics za kocha au wachezaji wetu kucheza chini ya kiwango. Wachezaji wetu Wana quality kubwa mno kulinganisha hao utopolo arsenal
Nina imani kubwa na hii line up labda Ole alete ufala tactically
 
Martial mse.nge kweli rafiki yangu..

Wamehighlight hapa upuuzi wake wa juzi vizuri,nimechukia sana..hakupaswa hata kukaa benchi.
 
Back
Top Bottom