Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Mnaweza mkashinda usikate tamaa, underdog huwa ndio mshindi, nyie ni underdog kwetu nwdyz,lakini km hujui hujui tu.Man u tunafungwa as usual
Mnaweza mkashinda usikate tamaa, underdog huwa ndio mshindi, nyie ni underdog kwetu nwdyz,lakini km hujui hujui tu.Man u tunafungwa as usual
Hawa leo hazipungui tatu,watajitahidi kupunguza idadi lkn tatu ni lazima zifikeKama ilivyo kawaida usiku wa deni haukawii kukucha
Mje na mafuta
Mje na lingard
Mje na ambulance
Mje na mzee Ferguson
Mkipigwa chini ya 3 nahama huku chato

Kama ilivyo kawaida usiku wa deni haukawii kukucha
Mje na mafuta
Mje na lingard
Mje na ambulance
Mje na mzee Ferguson
Mkipigwa chini ya 3 nahama huku chato
Wee Mndengereko, mpira unaanza saa ngapi?We jamaa unetamba sana week hii, ila leo ndio mwisho wako.
Dakika 90 za game ntakuwepo hapaWe jamaa unetamba sana week hii, ila leo ndio mwisho wako.
Kwa huku niliko ni 19:30 hrWee Mndengereko, mpira unaanza saa ngapi?
Mzee siku ya gemu kama leo huwa huingii chimbo ndichi?Kwa huku niliko ni 19:30 hr
Kwa Africa mashariki ni saa 20:30.
Mpira saa ngapi?Mzee siku ya gemu kama leo huwa huingii chimbo ndichi?
Mzee siku ya gemu kama leo huwa huingii chimbo ndichi?
Mpira saa ngapi?
AsanteHapo bongo saa 2:30 usiku.






Mzee mechi hii arsenal anaweza akashinda au akadroo.Full time :Arsenal 2 Man U 2.
Mzee mechi hii arsenal anaweza akashinda au akadroo.
Zama chimbo wewe ..achana manyumbu haya yatakunyima ela ya kula ..mwajiri atakutaka mshahara oho!!Inatokana na game yenyewe.
Game na aseno ni kama sikukuu (nikishinda) au msiba (nikifungwa) siwezi kosa labda inikute kwenye machimbo ya mbali na mjini.
Istoshe niliingia jana usiku nimerudi leo asbuh na vidini vya kula.