Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Zama chimbo wewe ..achana manyumbu haya yatakunyima ela ya kula ..mwajiri atakutaka mshahara oho!!
Chimbo hili mkuu ni JITEGEMEE sio MAKONGO no cha Mwajiri no cha tajili.

Ukiyapa yako na ulio fanya nao kazi, ukiyakosa unaendelea kutubu, no kula mpaka suruali inapasuka.

Mbaya zaidi ukikamatwa polini ni jela miezi 6 bila msamaha.
Kiufupi mkuu huku ni kama jela ya kujitakia tu.
Utamlaumu nani na shule tuliona uzushi?
Ngoja tuondelee kukaza.
 
Nawaombea Wachezaji wetu watupambanie sana Leo na kwa ubovu Wa hiki kitimu cha arsenal tutakizabua tu, mana naamini kocha hatokuwa na msaada tutapokuwa ktk mazingira magumu. Natabiri Edinson Cavan kuweka Leo!
 
Arsenal..london babies watakufa goli 3 leo hii, Martial ,Rashford na Cavani watatupia hizo kamba..Bruno Magnifico atatoa assist 2..na Arsenal watarudi rasmi kwenye mbio zao za championship
 
Fimbo zitakazo tembea pale Emirates leo sidhan kama mtaonekana hapa

Sosha anaogopa, pogba anaogopa, Bruno anaogopa
Nyie wapuuzi mnapata ujasiri wa kuzungumza hapa!!!

Leo tunaingia na 2-2-6

Yan fowad sita, middle wawil, bek wawil
 
Arsenal..london babies watakufa goli 3 leo hii, Martial ,Rashford na Cavani watatupia hizo kamba..Bruno Magnifico atatoa assist 2..na Arsenal watarudi rasmi kwenye mbio zao za championship
Kwel mpira unadunda, Labda kuanzia dakika ya 150 huko. Mkibak peke yenu uwanjan
 
Kwel mpira unadunda, Labda kuanzia dakika ya 150 huko. Mkibak peke yenu uwanjan
Mpira utadunda kwa Arsenal, sio kwa mafundi wa united..leo tutachukua point zetu hapo kwenye huo uwanja wetu wa emirates.
 
Man akifungwa na Arsenal mechi ya Leo sitakomenti humu hadi June.
Naona umetafuta sababu za kuwakimbia wenzako
Kuwa mzalendo, fimbo kidogo tu unazila

Kwan mshakutana tena na Tottenham au Everton???
 
Back
Top Bottom