Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

My team for the United game on Saturday
Laca
Auba Odegaard Saka
Xhaka Partey

Tierney Gabriel Holding Cedric
Leno
 
Wanaouliza sakata la Aubameyang: Mama yake Aubameyang hatunae tena.

Wanaouliza sakata la Mustafi: Project aliyopewa Arteta ni kuhakikisha wachezaji wenye mlengo wa Kiislam kuondoka.

IMG_0648.jpg


Insta post from Auba.
 
Afadhali kaliweka bayana, lakini juzi usiku chanzo changu kutoka hospitali mama alikuwa hapumui.

Naomba radhi kwa jamii na familia nzima ya Arsenal kwa kusema habari ambayo haikuwa kweli.
na hiyo kuwa kuna project ya wachezaji waislamu kuondolewa ,umeitoa wap? nan asiyejua mustafi alishachokwa toka enzi za wenga kwa kuchomesha, na analipwa mshahara mkubwa for nothing....

kilichopo ni kuondoa wachezaji wote wenye mishahara mikubwa na hawana impact,ili timu iweze kupunguza wage bills, na kuweza kusajiri summer bila kujibana,

mustafi, luiz, ozil, sokratis, kolasinac, toreira, saliba, guendouz, hawapo kwenye mipango ya arteta kuanzia msimu ujao...je wote hao ni waislamu, ?

pepe na willian, huenda wakavumiliwa....labda ofa nzuri zikija watauzwa
 
As: 'AS Monaco maintain good relations with Atlético & are trying to sign Torreira from Atletico on loan at least. Valencia had a strong interest in Torreira, but have not been given a choice & are already looking at other objectives. Atlético would prefer not to let Lucas go'
 
Kwahiyo hata tukishinda leo hatuongozi ligi wala nini?

Sioni wakuizuia Manchester United kuchukua 3 points, Sio Sheffled wala aseno.
👆👆👆

🤣🤣🤣🤣🤣
Umepasuka na timu inayo buruza mkia,sasa ndio unaanza kurudi kwenye nafasi zako mdogo mdogo,puuuuuuumbavuuuuuuuu.
 
Ødegaard "This was a special moment. Before I moved to Real Madrid, I spoke to Arsene Wenger and he wanted me to move to Arsenal. I said, “Believe me, in the future, if I have the opportunity to change clubs, Arsenal will be the club for me.”
 
Dimarzio: The agents of the new Juventus player Aké, are the same as those of Aouar from Lyon. The transfer of Aké allowed both parties to talk again about Aouar, a player that Juventus management really likes. In the coming weeks,these talks will intensify
 
Man United kuwa wa kwanza ni kama kumuona tembo juu ya mti. Wote hatujui kapandaje ila tuna uhakika atashuka.
Kwa kuzingatia game yao na Liva, kikosi chao na majeruhi yetu niliona tuna asilimia 30 kushinda. 30 kusuluhu na wao wana 40 za kushinda.

Ila kwa game yao ya jana hapana. Morali yao itakua imesheki vibaya.

Arsenal tunaenda na ushindi wetu kwa Soton tulioupata kwa comeback, tena huu ushindi Emile hakutoa assisst that means kwa sasa tushajijua kua ukipata mpira pasi ni mbele.

Kuna Odegaard, Pepe kapafom vizuri, Saka is on fire hawa wote wanaweza kucheza RW ila Saka kajimilikisha hiyo namba kwa sasa. So Arteta anaweza kumuweka tena Pepe LW, Saka RW na Odegaard AM.

Ingawa kama Emile anaweza kucheza nitaona ni sawa zaidi akianza as kumuamini mgeni straight away kwa game kama hii kunashusha morali ya mwingine.

Nafikiri hii game Gabriel ataanza.

Kuna game moja Partey na Elneny walitawala dimba la kati hadi nikaona wivu sijui kwanini hii duo haijawahi kurudia kile kiwango.

Soares is good, in fact Tierney akirudi ni sawa Soares akibaki kulia tushuhudie atakacholeta uwanjani.

Hii game tuna uwezo wa kushinda.
 
Back
Top Bottom