Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Good news next big match ni dhidi ya Liverpool tutashinda lakini bad news itakuwa ni FA Cup siyo ligi
 
My prediction


Nina khabari njema kwa Arsenal leo. Leo kujikongoja kidogo...

Arsenal 1-0 Newcastle (FT)
1HT 0-0
2HT 1-0
No BTTS
U2.5
 
Mi bado naona Paul alikuwa live kuliko Bruno na wengine. Ndiye kama alikuwa ana-lead buildup ya United
 
Grealish

Madison
 
Tungetaka kuwa na attempts kama wao tungekua nazo, limeongelewa huko juu Ukitoa shuti la Alcantara hizo Attempts 17 zote zilikuwa za ovyo unless hujaangalia mpira.

Hizo offside 7 zilikuwa kipindi cha kwanza na ndio mfumo ulikuwa Hivyo, kipindi cha pili uliziona?

Alivyoingia Cavani tulibadili kabisa mfumo na tu katengeneza chance 2 za wazi kabisa, sisi ndio tulikuwa Hatari mechi ya Jana.

Na Ball possession hazina maana yoyote kama hutengenezi nafasi.
 
Martial anakuwa na ujinga mwingi ila hajamzidi Rashford..ingekuwa ni Anthony pale angepiga pass fasta tu kwa Cavani..

Ole asipokuwa mkali hawa watoto watamletea vikwazo sana..

Game ya Fulham aanzie bench..Greenwood acheze nafasi yake
Martial yeye ni mvivu.

Mpira ukiwa hata mita 5 mbele yake hajishughulishi.

Ila akiwa na mpira anatoa pasi.

Ila Rashford ni takataka. Akili za Benteke.
 
Kungekuwa na kaptain kama Roy Keane angeshampa mbata palepale uwanjani.
 
Rashford na martial sio watoto wale ile project imekufa hao level zao ni za sutton huko wanatofaut gan na walcott au yule mjomba wa okocha? Rashord alipata offside 5 peke yake halafu zote hakuna hata moja aliyotumbukiza mpira nyavuni dadeki
Upo sahihi.

Hao watoto tuwasukumizie kina Arsenal.

Vdb yupo benchi, halafu Rashford anafanya upumbavu.
 
Umesahau sisi huwa tunapoteza mechi ndogo kizembe?
Tupo unbeaten Away zaidi ya mwaka, na hata kupoteza Msimu huu Ukitoa mwanzo wa ligi ambapo tulikuwa Hatuna fitness, tupo unbeaten mechi 12 sasa hivi toka November 2020, mechi zipi ndogo ambazo tumepoteza? Hata draw msimu huu ni against timu kubwa, ndogo zote tumezifunga.
 
Hapa Rashford mnamtukana bure tu alivyokabwa vile asingeweza kutoa hiyo pass.

Tusiangalie mpira as if timu yetu ilikuwa inacheza peke yake.

Mkuu unamtetea huyu? Hapa si kajikabisha mwenyewe hii counter haina tofauti na ile ya rooney,ronaldo na park dhidi ya arsenal kwa juu yake kuna had pogba ambae angepiga pass pia kwa cavan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…