Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

✓Fernandes ana-complicate mambo sana,piga pasi nyepesi tu itafika..Game kama hii unaitaji fine passes..sifurahishwi sana na general play yake

✓Rashford anajikuta balloon d'or winner tayari..Lile lilikuwa goli kabisa.

✓Shaw+Pogba wamecheza poa sana..na sasa ndo mtaona ni jinsi gani Shaw lazima aanze ahead of Telles kwenye game kama hizi.

Tumecheza na Liverpool mbovu sana na tumeshindwa kuchukua three points..Anyway,more still to come,let's keep our heads up.

GGMU
Fernandez leo mpira umemkataa
 
Ole game za muhimu huwa anafeli Sana ku plan it's like tulivotolewa group stage UEFA na juzi carabao na man city hajifunzi Yani anapenda kuporomoshewa matusi ya kiwango cha Lami

Rashford bado ufalme unamsumbua ndio maana anapambana yeye kama yeye bila kuangalia maslahi ya timu Kwanza

Yote ya yote luke Shaw amefanya yake Leo kwangu ni man of the game.kwa ukuta huu mbovu wa liverpool..Man u kashindwa kupata point kirahisi basi ana safari ndefu kuwania ubingwa wa Aina yoyote msimu huu
Pogba.
 
Kwa sasa man United ipo form ..tuseme ukweli

Huu msimu musipobeba hata ka Europa basi Ole atakuwa na mkosi.


Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Niliwaambia Ole huu mwaka 2021 ni wake sababu hadi sasa hivi ni vigumu sana Man U kufungwa hovyo.

Rashford kazingua sana mechi ya leo.

Hongereni sana Man U, msisahau pale Anfield ni mwaka wa 3 hivi sasa haijafungwa EPL.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Everton fanya jambo tafadhari
Screenshot_20210117-224359.jpg
 
Ole game za muhimu huwa anafeli Sana ku plan it's like tulivotolewa group stage UEFA na juzi carabao na man city hajifunzi Yani anapenda kuporomoshewa matusi ya kiwango cha Lami

Rashford bado ufalme unamsumbua ndio maana anapambana yeye kama yeye bila kuangalia maslahi ya timu Kwanza

Yote ya yote luke Shaw amefanya yake Leo kwangu ni man of the game.kwa ukuta huu mbovu wa liverpool..Man u kashindwa kupata point kirahisi basi ana safari ndefu kuwania ubingwa wa Aina yoyote msimu huu
Plan ya leo ilikuwa perfect, Ukitoa shuti la Thiago Alcantara DE gea alilocheza kuna shambulizi gani utasema Liverpool wamefanya la Maana? Si mane wala Salah Leo walikuwa wanaruka ruka tu.

Kama wachezaji wetu wangekuwa makini nafasi ya Bruno na Pogba tungeshinda kilaini tu goli 2. Wapo wenye we hakuna anaewapa pressure wamemlenga kipa.

Mwisho wa siku draw anfield si mbaya, tume maintain Gap.
 
Acha ujinga dogo janja.
Sisi tupo serious na EPL.
Man U kufufuka kutoka wafu ni kawaida yao. Swala ma kusema eti mtamaliza msimu na kikombe FUTA KABISA! hamuwezi kubeba kombe lolote! Labda Kombe la uji.


#COYG
#COYG
 
Plan ya leo ilikuwa perfect, Ukitoa shuti la Thiago Alcantara DE gea alilocheza kuna shambulizi gani utasema Liverpool wamefanya la Maana? Si mane wala Salah Leo walikuwa wanaruka ruka tu.

Kama wachezaji wetu wangekuwa makini nafasi ya Bruno na Pogba tungeshinda kilaini tu goli 2. Wapo wenye we hakuna anaewapa pressure wamemlenga kipa.

Mwisho wa siku draw anfield si mbaya, tume maintain Gap.
Liverpool sio ya kuiogopa sasa.

Kuna Man City ana game 2 mkononi.

Ushindi wa leo ulikuwa muhimu kuliko.
 
Back
Top Bottom