Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Mechi ya Jana Ole alijikosesha ushindi mwenyewe kwa kuwaheshimu Liverpool kupita kiasi.
Sikuona sababu yoyote ya Ole kucheza 4 4 2 diamond & 4 5 1 kwenye mechi ya jana.
Kilichoshangaza zaidi ni Rashford kuanza kama lone Striker halafu Martial akacheza left wing.
Kumuanzisha Pogba kwenye right wing kulimrahishia kazi sana Andy Robertson that's why alikuwa anapanda sana kwani right wing haikuwa na threat yoyote.
Bruno Fernandes alikuwa amechoka sana na probably anahitaji kupumzika walau 3 consecutive games au apunguziwe dakika za kucheza.
Mechi ya jana tungeshinda kama Solkjaer angeanza na Greenwood/James kulia kisha kushoto acheze Rashford striker angecheza yoyote Cavani or Martial.
Sikuona sababu yoyote ya Ole kucheza 4 4 2 diamond & 4 5 1 kwenye mechi ya jana.
Kilichoshangaza zaidi ni Rashford kuanza kama lone Striker halafu Martial akacheza left wing.
Kumuanzisha Pogba kwenye right wing kulimrahishia kazi sana Andy Robertson that's why alikuwa anapanda sana kwani right wing haikuwa na threat yoyote.
Bruno Fernandes alikuwa amechoka sana na probably anahitaji kupumzika walau 3 consecutive games au apunguziwe dakika za kucheza.
Mechi ya jana tungeshinda kama Solkjaer angeanza na Greenwood/James kulia kisha kushoto acheze Rashford striker angecheza yoyote Cavani or Martial.
Madrid