Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,080
- 12,319
Chupi la mtumba, unaongea kama ume Kalia dole!
Kanatolewa hakataki mmekadekeza vibaya ako kashoga
Kanatolewa hakataki mmekadekeza vibaya ako kashoga
City tutamtuliza kwake mchana kweupeHii draw ya leo nadhani inambeba kila mmoja.
Hongereni sana. City kawasha moto.
Mechi 7 zijazo Man city Ana Aston villa, Burnley, West brom, Arsenal, Spurs na Liverpool, akichomoka hapa yeye mwanaume, na Ana nafasi kubwa Ya Ubingwa.Mkuu tumemaintain na liverpool lakini city amepunguza sana.
Sis man city jumatano tunaenda kumpiga gori za kutosha na kusimama kule juuNafkiri Ana kiporo cha Aston Villa Hope anadondosha point.
City tutamtuliza kwake mchana kweupe
Naona Man city na Leicester wanawasogelea ..kwa hesabu zangu za chapchap bingwa naona atakuwa kati ya hizi timu mbili.. city au Leicester, ila manure bado ni title contenderHawawezi kuwaabingwa Hawa. Believe it or not. Njoo hapa mwezi March utaona wako nje ya Top 4..... Hawana timu ya kubeba ubingwa.
#COYG
#COYG
Sisi the BluesWe akina nani
Hawa wanapanda na kushuka ..epl bado ngumu sana ,zingekuwa zimebaki mechi nne hapo sawa..Niliwaambia Ole huu mwaka 2021 ni wake sababu hadi sasa hivi ni vigumu sana Man U kufungwa hovyo.
Rashford kazingua sana mechi ya leo.
Hongereni sana Man U, msisahau pale Anfield ni mwaka wa 3 hivi sasa haijafungwa EPL.
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Huyu rashford ni kilaza, sasa anaenda wapi huko
Kutafuta sare wakati sisi ndo tuliokuwa na chansi kubwa mwishoni ya kupata ushindi?Mmekuja Anfield kutafuta sare na mmeipata!
Hongereni sana ingawa najua kila mtu sasa hapa anayaogopa majogoo
Hivi vitoto ndiyo vinatuchelewesha, yani mpira wakishakuwa nao karibu au ndani ya box ni kama vinakuwa havioni tena.
Kipa wenu Livepool ndio alitaka hiyo sare..Mmekuja Anfield kutafuta sare na mmeipata!
Hongereni sana ingawa najua kila mtu sasa hapa anayaogopa majogoo
Man u ilitengeneza big chance 2 liva pamoja na possession yote imetengeneza big chance 1.Mmekuja Anfield kutafuta sare na mmeipata!
Hongereni sana ingawa najua kila mtu sasa hapa anayaogopa majogoo