Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 24,857
- 89,753
Kudraw na liver ni jambo kubwa sana kwetu mzee...tena kwaoHuu ni usengee tuna draw vipi na liverfool
Usenge unaokuja kutokea ni wao kutufunga tukiwa kwetu
Kudraw na liver ni jambo kubwa sana kwetu mzee...tena kwaoHuu ni usengee tuna draw vipi na liverfool
Kwa sasa man United ipo form ..tuseme ukweliubora wa timu unazungumziwa kwa mafanikio ya muda husika, je msimu huu mmeshinda mechi ngapi na kupoteza ngapi na manchester united wameshinda ngapi na kupoteza ngapi.......
Je mpo nafasi ya ngapi kwenye league na manchester ipo nafasi ya ngapi kwenye league hadi muda huu?
hayo maswali mawili yanajibu timu gani ni zaidi ya timu nyingine.....haiwezekani mtumie zaidi ya paun mil 200+ alafu hata top 3 msiwepo hadi mzunguko wa kwanza its a shame......
Hahaha unafeli ndugu yangu ..sisi tupo kimpira zaidi.Huyu ollachuga usiwe unamchukulia serious.
Man U kufufuka kutoka wafu ni kawaida yao. Swala ma kusema eti mtamaliza msimu na kikombe FUTA KABISA! hamuwezi kubeba kombe lolote! Labda Kombe la uji.Kwa sasa man United ipo form ..tuseme ukweli
Huu msimu musipobeba hata ka Europa basi Ole atakuwa na mkosi.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app



Mkuu kwa trend yao wako vizuri kwa sasa manure ni title contender.Man U kufufuka kutoka wafu ni kawaida yao. Swala ma kusema eti mtamaliza msimu na kikombe FUTA KABISA! hamuwezi kubeba kombe lolote! Labda Kombe la uji.
#COYG
#COYG



Umeropoka kwa nguvuBADO MICHEZO MITATU MAN U ARUDI NAMBA 8
Hawawezi kuwaabingwa Hawa. Believe it or not. Njoo hapa mwezi March utaona wako nje ya Top 4..... Hawana timu ya kubeba ubingwa.Mkuu kwa trend yao wako vizuri kwa sasa manure ni title contender.
Au ndo mbwembwe za Ole za kung'ata na kupuliza
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mkuu agiza kinywaji chochote hapo nitalipia.... Mimi nakazia, "MPAKA KUFIKA MWEZI MARCH, PUNDAMILIA WATAKUA NJE YA TOP FOUR."BADO MICHEZO MITATU MAN U ARUDI NAMBA 8
Tatizo ole ni Racist hawezi mpanga DialoAnaona kisha kuw superstar shida inakuja sosha anamuamini hata dialo nahisi atakuwa kama dvb tu.
Quality tunazidi timu zoteKocha kila tukikutana na team kubwa strategy ya kwanza ni defense...
Hivi huyu kocha anataka ubingwa kweli
Au ndio kila team kubwa imetuzidi quality ya wachezaji
Pogba kwangu ndiye aliyekuwa ana dictate mchezo na kwangu mimi ndiye amekuwa boraPogba anakimbia na mpira mno matokeo anachelewesha counter na kuambulia faulo
Unaangaika kaka!! United hizi back, we endelea kushangaaaMan U kufufuka kutoka wafu ni kawaida yao. Swala ma kusema eti mtamaliza msimu na kikombe FUTA KABISA! hamuwezi kubeba kombe lolote! Labda Kombe la uji.
#COYG
#COYG
We akina naniHii man United kwa mpira iliyopiga leo tukutana nao ĺazima tuwaweke nyingi sana.
#CFC
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app