Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Manutd kwa kweli malengo hayaeleweki
Ndiyo mmemnunua kwa harakati izo?Kama umemuangalia vizuri Cavani haruhusu ule ujinga wa kipa kuwaanzishia mabeki, anazunguka pale kwenye 18 kwa spidi kubwa hawawezi kuanzishia mipira pale ovyo ovyo. Martial ni mvivu hawezi kudhibiti mabeki na kipa wanaanzishia mipira nyuma ambayo ni hatari sana.
Hamkosagi pakujifichianaona OGS kabet leo lets wait and see lakn kitendo cha kumuweka baily nje n kuharbu atmosphere ya washabik weng dunian wa Manchester
kazngua kumuweka bench cavvan na bailyHamkosagi pakujifichia
Tulizeni vi pipu uko nyumaDuh mpaka sasa tumezidiwa
Mapema ivi captain anasemwaMaguire hamna kitu
Imepatikana sasa. BrunoShots on target 0![]()
Naona dalili hizoHii game hafungwi mtu.