Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Bailly wakati wa Mourhnio huu huu uwanja alijifunga ndiyo maana yuko benchi na Martial mechi yake ya kwanza na Liverpool alifunga bao murua sana ndiyo maana anaanza.Kabisa ole kauza mechi
Cavani mechi ya Southampton alifunga mabao mawili akitokea benchi ndiyo maana leo haanzi
Mpira ni takwimu siyo last match...