Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sihitaji source yoyote sababu mechi nimeangalia Telles alicheza kama wing back na hata source yako inaonesha kama wing back. Na assume source yako ni ya ukweli 6+ by any means sio mbaya.

Nimekuuliza source sababu hio mechi telles alicheza vizuri zaidi ya Hivyo, hata source yako inajichanganya na sababu nimekupa hio ya Key pass.

Na Kuna kazi gani kuweka source kwanini unaZungusha huku na kule?
Hebu screenshot kutoka source yako nione.

Source hii hapa.

 
Excuse fc
IMG-20210105-WA0014.jpg


Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
 
Hicho kikosi hakiwezi mfunga city labda
City nishamfunga mara kibao na vikosi ambavyo ni substandard..kinachohitajika kwenye hicho kikosi ni hardwork+Clinicalness kule mbele,City anakufa vizuri
 
City nishamfunga mara kibao na vikosi ambavyo ni substandard..kinachohitajika kwenye hicho kikosi ni hardwork+Clinicalness kule mbele,City anakufa vizuri
Hii mechi dhidi ya man city itarejewa lini au mara hii haitokuwa na marejeo kama ilivyokawaida?
 
Hebu screenshot kutoka source yako nione.

Source hii hapa.

Mbona unaipenda hii match kui quote Hali ya kuwa Unajua tunaongelea mechi ya Paris na sio Ya OT? Hii Telles alicheza wing back?
 
Mbona unaipenda hii match kui quote Hali ya kuwa Unajua tunaongelea mechi ya Paris na sio Ya OT? Hii Telles alicheza wing back?
Iko hivi;

Hiyo mechi mliyoshinda haina direct link. Inatakiwa uifuate kwa kubonyeza timu yoyote hapo kisha utaona game mliyoshinda, ukiiclick inakupa stats zote.

Ndiyo maana nilikuletea screenshots.

Sasa lete screenshots zako tuone kama zinapingana na nilichopost.
 
My starting XI vs City kesho

======
Henderson

AWB Lindelof Maguire Telles

McTominay Fred

Greenwood VdB Pogba

Martial

=======
It's Carabao Cup guys hakuna haja ya kukamia at this moment

✓Fernandes anahitaji kupumzika,Rashford pia the same..Kitasa Bailly hakuna haja ya kukitumia..kuna game mbili za epl zenye umuhimu sana zinakuja na kama Victor hajapona basi Tuanzebe aanze


GGMU
Hata Lingard apewe nafasi
 
Iko hivi;

Hiyo mechi mliyoshinda haina direct link. Inatakiwa uifuate kwa kubonyeza timu yoyote hapo kisha utaona game mliyoshinda, ukiiclick inakupa stats zote.

Ndiyo maana nilikuletea screenshots.

Sasa lete screenshots zako tuone kama zinapingana na nilichopost.
Stitchcraft_20210105-202814.png

Hio ratings ya BBC.

For the sake of discussion tu assume sofascore wapo sahihi kama ulivyoweka.
Ratings ya 6.6 sio mbaya by any means na haireflect maneno yako kuwa hakucheza vizuri kama wingback

Na sofascore kama who scored wana rate stats na sio uchezaji, tofauti na BBC ambao ratings zinatokana na review za wataalamu.
 
Back
Top Bottom