Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tulicheza 4-2-3-1 wing back anatokea wapi na tuna mawinga?
Hamkucheza 4 2 3 1 na hiko ndiyo kilisababisha niandike nilichoandika. Mlicheza 3 4 1 2, ingekua 4 2 3 1 siku ile telles angekua LMF na siyo wingback.

Anyway down with performance breakdown.

Game mnashinda 2 kwa 1 telles alikua na workrate ya 6.6 ndogo kuliko mchezaji yeyote wa man u.

Aligusa mpira mara 39.

Alipiga krosi 8 ila 3 pekee zilifika golini.

Hakupiga shuti lolote golini.

Katika ground duels 8 alishinda 2.

Hakufanya aerial duel yeyote.

Alipoteza mpira mara 15.

Alifanya faulo 2.

Hakufanya clearance yeyote.

Dribbled past 1.

Alitolewa dakika ya 67.
 
"I hear now that Manchester United had more penalties in two years than I had in five and a half years. I've no idea if that's my fault, or how that can happen." Liverpool Manager

Naona Klop tabasamu linamuishia, anahisi pressure. Asubiri January 17.
Klop ameanza kulialia...tukimfunga tarehe 17 atachanganyikiwa kabisa
 
Mnafungwa 3 na psg telles workrate yake ilikua ni 6.4 wakati fred aliyetoka kwa red ilikua 6.0 hii workrate yake ilikua sawa na de gea lakini ni ndogo kuliko wachezaji wote wa ndani.

Katika ile game telles alifanya clearance moja tu.

Tackles 2.

Dribbled past 2.

Katika ground duels 7 alishinda 3.

Alifanya aerial duel 1 tu.

Alipoteza possession mara 17.

Alifanya faulo 2.

Alipiga krosi 8 ila 2 pekee zilienda golini.

Au siyo game hii?
Hiyo workrate imepimwa na chombo gani?..
 
Hahahahah mkuu Unazugumzia Asenoo hii hii au Kuna nyingine?
Hapa nilichogundua ubingwa upo wazi kwa timu zote 11 arsenal kazidiwa point 10 tu na kiongozi wa ligi akikaza na haya matokeo yake anayopata anaweza kufanya jambo ila hatakiw kupoteza mchezo kuanzia sasa nakumbuka last season manchester united alizidiwa na chelsea point 18 kuingia top 4 alizikata had chelsea alikamatwa
 
Chelsea hiyo mkuu ilikuwa bora sana haikuwa na kocha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nairate man U ya 2007/2008 kama bora zaidi kwenye timu yetu, bora kuliko 1999,

Na Chelsea tulikutana nao sana msimu huo, tumewafunga fainali Uefa na hata ligi OT tuliwafunga 2-0,

Hata kikosi chetu individually kilikuwa bora

Forward ya Ronaldo Rooney na Tevez
Midfield ya Hagrevaes, Carrick scholes
Beki ya evra, Rio, vidic na brown
Kipa van de sir

Hapo weak link ilikuwa ni brown pekee, waliobakia wote walikuwa ni top top players kama sio world class.

Hata kikosi cha mwaka hakikuwa na mchezaji hata mmoja wa Chelsea
 
Hamkucheza 4 2 3 1 na hiko ndiyo kilisababisha niandike nilichoandika. Mlicheza 3 4 1 2, ingekua 4 2 3 1 siku ile telles angekua LMF na siyo wingback.

Anyway down with performance breakdown.

Game mnashinda 2 kwa 1 telles alikua na workrate ya 6.6 ndogo kuliko mchezaji yeyote wa man u.

Aligusa mpira mara 39.

Alipiga krosi 8 ila 3 pekee zilifika golini.

Hakupiga shuti lolote golini.

Katika ground duels 8 alishinda 2.

Hakufanya aerial duel yeyote.

Alipoteza mpira mara 15.

Alifanya faulo 2.

Hakufanya clearance yeyote.

Dribbled past 1.

Alitolewa dakika ya 67.
Ratings za BBC zinakinzana na zako

 
My starting XI vs City kesho

======
Henderson

AWB Lindelof Maguire Telles

McTominay Fred

Greenwood VdB Pogba

Martial

=======
It's Carabao Cup guys hakuna haja ya kukamia at this moment

✓Fernandes anahitaji kupumzika,Rashford pia the same..Kitasa Bailly hakuna haja ya kukitumia..kuna game mbili za epl zenye umuhimu sana zinakuja na kama Victor hajapona basi Tuanzebe aanze


GGMU
 
Sijatoa kichwani nilichoandika

Screenshot_20210105-115047.png


Screenshot_20210105-121714.png


Screenshot_20210105-121727.png
 
Inabidi sasa tuonyeshe umwamba.

Piga Burney..Piga Liverpool.. tunawapita kwa 6points ..Mziki unabaki City
Mkuu, huyu City ana viporo vigumu vitupu.
Anamziki wa Evaton pamoja na Aston Villa, sioni akichukua points zote 6 huyo.
Yani sisi ubingwa tunaanza kujihakikishia kwenye mechi na Livakuku.
Tukichinja kuku tu, basi ubingwa uleeee.
 
Ila timu kubwa inapofungwa na Arsenal inakuwa kama ina upungufu Fulani hivi asee. Mfano sisi Man U tunapocheza na Arsenal yaani huwa siwazi kwamba mpira una matokeo matatu. Hivi Cavan adhabu yake inaisha kwenye mechi inayokuja au ipi?
 
"I hear now that Manchester United had more penalties in two years than I had in five and a half years. I've no idea if that's my fault, or how that can happen." Liverpool Manager

Naona Klop tabasamu linamuishia, anahisi pressure. Asubiri January 17.
Jamaa kaanza kuchanganyikiwa kidogo kidogo!
 
Back
Top Bottom