Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Cavani na ighalo wapo kwenye mipango ya muda mrefu?

Pellistri na traole wamecheza mechi ngap timu ya kubwa? Unajua kwa nn wamesajiliwa?

Huwez kudhamiria kuchukua ubingwa wakat una watu wa mipango mifupi ukiwa unajenga timu ndio maana nimekuuliza ile post ya mtu wa mpira?
Sawa sawa maoni yako.

Hao 2 watakaosajiliwa watakua wa muda mrefu au mfupi? Kama ni wa muda mrefu ni sahihi kusema hizo sajili mbili zitawapa ubingwa wa msimu huu?

Ulitakiwa umuulize mwenzako
 
Wolves wako vizuri sana mechi ya leo ni ngumu tu.
Everton
Liverpool
Wolves
Man city
Leicester city

Hizi ni fixture ngumu sana msimu huu.
Foward wao ni toothless bila Jiminez..

Unaposema wapo vizuri una maana fomu yao ya ligi au nini? ...maana hawana fomu nzuri.

Tuna timu ya kuwafunga Wolves kirahisi tu..sababu ya kutunyima ushindi itakuwa ni amateur game plans za ole za kuanza na kina Dan James
 
Baada ya kuondoka Ashley Young, hakukuwa na mchezaji senior ambae alifaa kupewa ukapteni. Hivyo Maguire akapewa.

Hapo Bruno hakuwa Man U.

Sio busara kumnyang'anya Maguire, halafu ukampa Bruno bila sababu ya msingi.
Utasababisha divisions ndani ya dressing room.
Huyu kuna wakati anashika hadi ukapteni wa England anastahili sana kupewa United.
 
Ole huwa anatuangusha sana kwny mech za umuhimu na sometimes naona kama fixture yake haiangalii vzr
1. kutolewa group stage UCL n uzembe wakat ulishamfunga leipzg na psg mech za mwanzo cjui alikwama wap kumfunga yule bashekir home ñ away
2. jana kumuanzisha lindeolf kulia na james pia n uzembe katika team selection wakat Tuanzebe alicheza vzr tyu no.2 vs everton pia kumuweka nje cavan na greenwood unamuanzisha james msing mbio n ujinga
3. kutokuwa na first XI ya kuaminika mpaka mda huu pia n uzembe kila cku kikos kinabadilika mwny uhakika wa kucheza n kipa degea maguire na bruno wengne n kama ana bet leo nimuanzishe nan

Ole n ndez sana hatuwez kuwa mabingwa kwa akil ya Ole.
USISAHAU,....NA MARTIAL ANA UHAKIKA SANA WA KUANZA.
 
Bruno ni captain.

Maguire ni mpuuzi flani overrated.
MKUU NAKUHAKIKISHIA MAGUIRE NI KIONGOZI MZURI SANA, ANA TIMING NZURI, MIPIRA YA KONA YA PANDE ZOTE(KWAKE AU KWA MPINZANI) LAZIMA ITUE KICHWANI KWAKE. KUNA WAKATI ANAKUBALI YELLOW CARD (KUMVUTA MTU SHATI) KUOKOA TIMU ISIFUNGWE KWA UZEMBE WA VIUNGO.
 
Ukweli ni kwamba ole anafeli kupick wachezaji kuendana na fixture husika.

Ole anawachezaji wake anaowapenda ambao wanamgharimu maana inaonyesha hata kuwakaripia hawezi.

Mtu kama martial bila kificho ole ana mpenda sana, chunguzeni martial akishinda huwa anashangilia sana kuliko wachezaji wengine.

Nilichoka ile game ya psg penalty alipewa apige yeye wakati rashford ana goals 2 tayari.

Mimi binafsi naona ni heri aanze ighalo kuliko martial endapo cavani ni mgonjwa.

Bruno anatubeba sana ila atachoka atapoteza hari aliyonayo kwa sasa kama tutaendelea hivi

Bruno binafsi anaenjoy cavani akiwa uwanjani kuliko martial .

United tunauwezo wa kushinda goals hata 5 kila mechi tunazocheza kutokana na nafasi za wazi tunazozikosa,
WELL SAID ..
 
Sio kwamba hawa vijana ni kukosa umakini, ukiangalia martial ana kauwezo flani ka kupiga pasi, akiwepo cavani uwanjani matunda yanaonekana ya martial
 
Nyie Man Utd mnapendelewa kudadeki


Watu wanakaa siku moja ndio wanacheza game nyie mmepewa siku kibao toka jmosi hadi jnne
AKILI YA HOVYO HII, MAN U NDIO TIMU YA KWANZA KUCHEZA BAADA YA X-MAS, YAANI WACHEZAJI WAMETOKA KUJIRUSHA JANA KESHO YAKE SAA SABA MCHANA WAKAINGIA UWANJANI, HILI HUSEMI.
 
Matchday.

Tumekuwa bottling masters..Kila inapotokea nafasi ya kujichimbia nafasi ya juu kwa mara nyingi tumekuwa tukipoteza hizo chances.

=======

My XI against Wolves..Today 23:00 EAT


Henderson

AWB Bailly Maguire Shaw

Fernandes Fred Pogba

Greenwood Cavani Rashford

----

✓Kama AWB bado hayupo fit Tuanzebe acheze na aambiwe yeye sio mtoto acheze kiutuuzima

✓Pogba aambiwe akiwa deep acheze simple..

✓Defence pia bado inabidi i-stepup,not good enough.

======

GGMU
MKUU SIKU HIZI HUMUWEKI MARTIAL
 
Leo ushindi ni muhimu kuliko siku zote.
Sorskjaer asituangushe, apange nondo za kweli.

Leo aingie na 4 2 4 1

Cavani
Martial Pogba Fernandez Rashfood
Fred Mac Tomney
Show Bailey Maguire AW Bissaka

Degea.

Kikosi hichapo ata nyumba ya urithi naweka bondi.

wtf
 
#mufc squad to face Wolves: De Gea, Henderson, Wan-Bissaka, Tuanzebe, Bailly, Maguire, Shaw, Telles, Matić, Van de Beek, Pogba, Fred, McTominay, Fernandes, Mata, Rashford, James, Martial, Cavani, Greenwood.
#mulive [men]

Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
 
Leo ushindi ni muhimu kuliko siku zote.
Sorskjaer asituangushe, apange nondo za kweli.

Leo aingie na 4 2 4 1

Cavani
Martial Pogba Fernandez Rashfood
Fred Mac Tomney
Show Bailey Maguire AW Bissaka

Degea.

Kikosi hichapo ata nyumba ya urithi naweka bondi.
Watacheza 12 mkuu

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom