Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tatizo unaingilia Liverpool kwa mtazamo upi, mkuu angalia consistency hapo ndio utajua kuwa united siyo title contender
Kwn Liverfool ina point ngp na man u ina ngp zen tuendelee hyo mada ya consistency uliyoanzisha.
 
Hata wakitoa sare tu, sisi wapinzani tutafurahi, maana mwizi atakua kajikwaa na kuturahisishia kazi sisi tunae mfukuza.

Hahaha, nakwambia huyu ni mwizi mzoefu.

Na baada ya kumvunja vunja baadhi ya viungo ila hamjamfikia, sasa hivi anakaribia kupona. Hizo mbio zake, mtashangaa.
 
Manchester United vs Wolverhampton Wanderers, December 29:

United’s poor finishing and defending cost them in the 2-2 draw at Leicester City, where the Foxes came from behind twice. Their record against Wolves is not great with just one win in the previous seven meetings in all competitions. However, Nuno’s side have been unconvincing upfront this term and they are there for the taking.

Manchester United 2-0 Wolverhampton Wanderers
 
Hao everton tunaenda kupress game mpaka waombe poool


City tunaenda kuchukua epl


Ni swala la muda tu


Citizen chairman
Everton vs Manchester City, January 28:

The Toffees have bagged four wins on the bounce where they have beaten Chelsea, Leicester City and Arsenal. Next up, they will come up against Manchester City, who are three points behind them with a game in hand. The hosts have lost each of their previous five matches against the Cityzens, but have the chance of getting something from this game, if they can show the same defensive resolve from recent weeks.

Everton 1-1 Manchester City
 
Sasa mkuu hapo si tofauti points 4 tu.
Msimu huu labda muombee ligi isimame (kutokana na mlipuko mpya wa Corona) na FA iamue kuwapa ubingwa wa mezani, lakini la sivyo, ubingwa sahauni.
Ivi hujaona tofauti ya points 31 na 27?

Enewey naona umeshikilia kuwa una kiporo! Mpaka hapo Liverpool kacheza 14, na Man U kacheza 14, sasa kiporo gani hapo unachozungumzia labda?
Kuwa serious basi.
 
Tatizo unaingilia Liverpool kwa mtazamo upi, mkuu angalia consistency hapo ndio utajua kuwa united siyo title contender
Kweli kabisa, timu inayoshindwa kulinda goli zikiwa zimebaki dk 5, haiwezi kuwa Bingwa.
 
Jamaa ni motivational sana. Anastahili kiukweli
Baada ya kuondoka Ashley Young, hakukuwa na mchezaji senior ambae alifaa kupewa ukapteni. Hivyo Maguire akapewa.

Hapo Bruno hakuwa Man U.

Sio busara kumnyang'anya Maguire, halafu ukampa Bruno bila sababu ya msingi.
Utasababisha divisions ndani ya dressing room.
 
Nilitengeneza simple mathematical model based on 4 indexes; Coaching years, rate of winning, number of times attending major competitions (UCL) and budget spent on their teams kwa walimu wote watatu (Julian, Ole & Mauricio).

Baada ya hapo nikatengeneza pairwise comparison matrix halafu nikatumia Analytic Hierarchy Process (AHP) kuchakata data kwa kutumia Expert Choice software.

Kitu pekee ambacho sikujumuisha ni game management skills nilikuwa sipati accurate data kwa kila kocha. Binafsi bado nilim-rank Ole chini hapa kumlinganisha dhidi ya Julian na Mauricio.

Hapo mimi nilifanya uchambuzi wa haraka haraka baada ya PTER kuniuliza swali jana nitaje kocha gani anaweza kufaa, nilitumia hizo index chache ili nitoe jibu ninaloweza kulitetea kwa namba bila kuweka human perception.

Japo nilifanya juu juu ila ni njia nzuri sana kupata kocha mzuri na hata wachezaji wazuri bila kuangalia majina una-deal na namba tu. Hapa unaweka kila kitu ktk mlinganyo wako hata vigezo 100.

Hii njia ndiyo inayotumika na Liverpool kwa sasa hata Jurgen Klopp alipatikana kwa njia hii hii na mtu ambaye hakuwahi hata kuangalia Bundesliga hata mechi moja ya Klopp anaitwa Ian Graham ( Director of research, Liverpool).
Sasa kwnn Man U hawaitumii njia hii kupata wachezaji wazuri.
 
Ivi hujaona tofauti ya points 31 na 27?

Enewey naona umeshikilia kuwa una kiporo! Mpaka hapo Liverpool kacheza 14, na Man U kacheza 14, sasa kiporo gani hapo unachozungumzia labda?
Kuwa serious basi.
Point 4 ni nyingi? Kwa michezo zaidi ya 23 iliyobaki?
 
Ole huwa anatuangusha sana kwny mech za umuhimu na sometimes naona kama fixture yake haiangalii vzr
1. kutolewa group stage UCL n uzembe wakat ulishamfunga leipzg na psg mech za mwanzo cjui alikwama wap kumfunga yule bashekir home ñ away
2. jana kumuanzisha lindeolf kulia na james pia n uzembe katika team selection wakat Tuanzebe alicheza vzr tyu no.2 vs everton pia kumuweka nje cavan na greenwood unamuanzisha james msing mbio n ujinga
3. kutokuwa na first XI ya kuaminika mpaka mda huu pia n uzembe kila cku kikos kinabadilika mwny uhakika wa kucheza n kipa degea maguire na bruno wengne n kama ana bet leo nimuanzishe nan

Ole n ndez sana hatuwez kuwa mabingwa kwa akil ya Ole.
 
Hapo numero 3, me nipo pamoja na kocha.
Me nadha anafanya hivyo sababu ya upana wa kikosi na pia kuwapumzisha wachezaji.
Ole huwa anatuangusha sana kwny mech za umuhimu na sometimes naona kama fixture yake haiangalii vzr
1. kutolewa group stage UCL n uzembe wakat ulishamfunga leipzg na psg mech za mwanzo cjui alikwama wap kumfunga yule bashekir home ñ away
2. jana kumuanzisha lindeolf kulia na james pia n uzembe katika team selection wakat Tuanzebe alicheza vzr tyu no.2 vs everton pia kumuweka nje cavan na greenwood unamuanzisha james msing mbio n ujinga
3. kutokuwa na first XI ya kuaminika mpaka mda huu pia n uzembe kila cku kikos kinabadilika mwny uhakika wa kucheza n kipa degea maguire na bruno wengne n kama ana bet leo nimuanzishe nan

Ole n ndez sana hatuwez kuwa mabingwa kwa akil ya Ole.
 
Hakika kabisa mkuu..

Ole hayupo serious,,
Majembe yapo nje unaanza na substandard players.

Hatuna recovery plan mpira ukipotea.

DeGea ni uchochoro sahivi. Alitakiwa akae bench ila mpaka sasa ndo first eleven.

Defence ni upuuzi mtupu. Ila mpaka leo mambo ni yaleyale.

Kwahiyo Sancho kutokuwepo ndo iwe sababu ya sisi kutofanya vizuri?
 
Ndio maana nasema hakuna kocha mpya atakaepata vikombe akiwa na wote hao James,Lindelof,Shaw,Martia,Bissaka.

Nakubali utetezi wako kwa kuwa hawa ndio tegemeo lkn hata Bunley hawapati namba
Viwango vimeshuka.
 
Aisee, mpira uko so dynamic.

Kabla ya jana wadau kibao tulianza kuamini Man Utd ni title contenders kwa jinsi walivyokuwa wameikaribia Liverpool.

Wenyewe mliita kukimbiza mwizi kimya kimya.

Kuna mpaka post ya Gary Neville akimsifu OGS.

Leo lugha imebadilika baada ya Leicester City kutoa droo.

Next ni Wolves na Astonvilla.
Mashabiki wachache sana.

Ila wanaojua uwezo halisi wa Ole, hata ashinde mechi 6 mfululizo, bado uwezo wake mdogo sana.
 
Mashabiki wanataka kila mechi washinde kitu ambacho siyo rahisi kwenye football.

Matokeo ya jana ni fair results tu na hayatuondoi kuwa title contenders.
Kuna kufungwa kihalali na kufungwa kwa uzembe.
 
Utasemaje man u sio tittle contender wakati tofauti ni point 1? kama akishinda kiporo maana yake ni tofauti hyo.

Hivi Liverpool ya mwaka Jana ndy hii ya Leo?
Mwaka Jana hadi sasa x mass mnatofauti ya points ngapi na anayekufatia kama sio points 6?

Liverpool ya mwaka huu hakuna kitu, ,mkuu.
Nyie ni wakusubiri huruma ya leceister city kumsimamisha man u? Ili muendelee kuongoza?

Last season by xmass ma u hata top 4 hayupo.
Leo unatofauti ya point 1 na bado kuna mechi lukuki zimebaki unajipa ubingwa wa mdomoni.


Nadhani hata kama kusoma hujuwi basi picha utazielewa.View attachment 1660247View attachment 1660248
Liverpool yupo vizuri sahivi. Wakiwa uwanjani wapo na objective inayoonekana.

Mpira unaocheza unaonekana.
 
Back
Top Bottom