Mwanamaji
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,906
- 4,525
Kwaiyo ni mtoto wake wa kambo ?Itakuwa maan sio kwa kumpenda kule...
Kwaiyo ni mtoto wake wa kambo ?Itakuwa maan sio kwa kumpenda kule...
Kwenye soccer lolote linawezekana.
Zile sio ngumi za kina Mfaume mfaume.
Angechezesha top frontMy Prediction
Everton 2-0 Manchester City (FT)
No BTTS
U2.5
Hapo ndiyo mtajua ligi hii haitabiriki kabisa na Ole hana hatia
Kwn Liverfool ina point ngp na man u ina ngp zen tuendelee hyo mada ya consistency uliyoanzisha.Tatizo unaingilia Liverpool kwa mtazamo upi, mkuu angalia consistency hapo ndio utajua kuwa united siyo title contender
Tunapozungumzia lolote linawezekana ni kweli, ila Anfield huo msamiati haupo.
Tuelekea mwaka wa nne sasa.
Hata wakitoa sare tu, sisi wapinzani tutafurahi, maana mwizi atakua kajikwaa na kuturahisishia kazi sisi tunae mfukuza.
Everton vs Manchester City, January 28:Hao everton tunaenda kupress game mpaka waombe poool
City tunaenda kuchukua epl
Ni swala la muda tu
Citizen chairman
Ivi hujaona tofauti ya points 31 na 27?
Enewey naona umeshikilia kuwa una kiporo! Mpaka hapo Liverpool kacheza 14, na Man U kacheza 14, sasa kiporo gani hapo unachozungumzia labda?
Kuwa serious basi.
Kweli kabisa, timu inayoshindwa kulinda goli zikiwa zimebaki dk 5, haiwezi kuwa Bingwa.Tatizo unaingilia Liverpool kwa mtazamo upi, mkuu angalia consistency hapo ndio utajua kuwa united siyo title contender
Baada ya kuondoka Ashley Young, hakukuwa na mchezaji senior ambae alifaa kupewa ukapteni. Hivyo Maguire akapewa.Jamaa ni motivational sana. Anastahili kiukweli
Sasa kwnn Man U hawaitumii njia hii kupata wachezaji wazuri.Nilitengeneza simple mathematical model based on 4 indexes; Coaching years, rate of winning, number of times attending major competitions (UCL) and budget spent on their teams kwa walimu wote watatu (Julian, Ole & Mauricio).
Baada ya hapo nikatengeneza pairwise comparison matrix halafu nikatumia Analytic Hierarchy Process (AHP) kuchakata data kwa kutumia Expert Choice software.
Kitu pekee ambacho sikujumuisha ni game management skills nilikuwa sipati accurate data kwa kila kocha. Binafsi bado nilim-rank Ole chini hapa kumlinganisha dhidi ya Julian na Mauricio.
Hapo mimi nilifanya uchambuzi wa haraka haraka baada ya PTER kuniuliza swali jana nitaje kocha gani anaweza kufaa, nilitumia hizo index chache ili nitoe jibu ninaloweza kulitetea kwa namba bila kuweka human perception.
Japo nilifanya juu juu ila ni njia nzuri sana kupata kocha mzuri na hata wachezaji wazuri bila kuangalia majina una-deal na namba tu. Hapa unaweka kila kitu ktk mlinganyo wako hata vigezo 100.
Hii njia ndiyo inayotumika na Liverpool kwa sasa hata Jurgen Klopp alipatikana kwa njia hii hii na mtu ambaye hakuwahi hata kuangalia Bundesliga hata mechi moja ya Klopp anaitwa Ian Graham ( Director of research, Liverpool).
Point 4 ni nyingi? Kwa michezo zaidi ya 23 iliyobaki?Ivi hujaona tofauti ya points 31 na 27?
Enewey naona umeshikilia kuwa una kiporo! Mpaka hapo Liverpool kacheza 14, na Man U kacheza 14, sasa kiporo gani hapo unachozungumzia labda?
Kuwa serious basi.
Ole huwa anatuangusha sana kwny mech za umuhimu na sometimes naona kama fixture yake haiangalii vzr
1. kutolewa group stage UCL n uzembe wakat ulishamfunga leipzg na psg mech za mwanzo cjui alikwama wap kumfunga yule bashekir home ñ away
2. jana kumuanzisha lindeolf kulia na james pia n uzembe katika team selection wakat Tuanzebe alicheza vzr tyu no.2 vs everton pia kumuweka nje cavan na greenwood unamuanzisha james msing mbio n ujinga
3. kutokuwa na first XI ya kuaminika mpaka mda huu pia n uzembe kila cku kikos kinabadilika mwny uhakika wa kucheza n kipa degea maguire na bruno wengne n kama ana bet leo nimuanzishe nan
Ole n ndez sana hatuwez kuwa mabingwa kwa akil ya Ole.
Majembe yapo nje unaanza na substandard players.Hakika kabisa mkuu..
Ole hayupo serious,,
Viwango vimeshuka.Ndio maana nasema hakuna kocha mpya atakaepata vikombe akiwa na wote hao James,Lindelof,Shaw,Martia,Bissaka.
Nakubali utetezi wako kwa kuwa hawa ndio tegemeo lkn hata Bunley hawapati namba
Mashabiki wachache sana.Aisee, mpira uko so dynamic.
Kabla ya jana wadau kibao tulianza kuamini Man Utd ni title contenders kwa jinsi walivyokuwa wameikaribia Liverpool.
Wenyewe mliita kukimbiza mwizi kimya kimya.
Kuna mpaka post ya Gary Neville akimsifu OGS.
Leo lugha imebadilika baada ya Leicester City kutoa droo.
Next ni Wolves na Astonvilla.
Kuna kufungwa kihalali na kufungwa kwa uzembe.Mashabiki wanataka kila mechi washinde kitu ambacho siyo rahisi kwenye football.
Matokeo ya jana ni fair results tu na hayatuondoi kuwa title contenders.
Liverpool yupo vizuri sahivi. Wakiwa uwanjani wapo na objective inayoonekana.Utasemaje man u sio tittle contender wakati tofauti ni point 1? kama akishinda kiporo maana yake ni tofauti hyo.
Hivi Liverpool ya mwaka Jana ndy hii ya Leo?
Mwaka Jana hadi sasa x mass mnatofauti ya points ngapi na anayekufatia kama sio points 6?
Liverpool ya mwaka huu hakuna kitu, ,mkuu.
Nyie ni wakusubiri huruma ya leceister city kumsimamisha man u? Ili muendelee kuongoza?
Last season by xmass ma u hata top 4 hayupo.
Leo unatofauti ya point 1 na bado kuna mechi lukuki zimebaki unajipa ubingwa wa mdomoni.
Nadhani hata kama kusoma hujuwi basi picha utazielewa.View attachment 1660247View attachment 1660248