Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ligi itaisha hivi

Manchester United

Evaton

Liverpool

Chelsea.
..................................................

Manchester City

Tottenham
....................................................
Taka taka zingine zitafuatia huko.

Bingwa (Manchester United) atachukua kwa tofauti ya points 5.

Ni ndoto nzuri sana, kiushabiki hizi zinaruhusiwa.
 
Ligi itaisha hivi

Manchester United

Evaton

Liverpool

Chelsea.
..................................................

Manchester City

Tottenham
....................................................
Taka taka zingine zitafuatia huko.

Bingwa (Manchester United) atachukua kwa tofauti ya points 5.
Nunua kaniki na tunguli nikutafutie wateja wa ramli
 
Unapaki basi dakika 90 unategemea kuchukua epl

Morhno mbinu zake za hovyo

Crystal palace kachomoa dakika za 80

Liverpool hivo hivo

Westaham walimfunga gori tatu hizo dakika


Leo wolves hizo dakika


Inamaana kocha hayaoni hayo


Zile black nigga za jose, zinakiuwaga hoi


Spurs anafungika hizo dakika, unaweza mpiga hata gori tana



Hivi nyie nyumbu mlifungwa vip na Spurs gori 6

Kudadeki,
Nje ya uwanja wake wa nyumbani liverpool asingeweza kumfunga spurs kamwe liverpool nyumban miaka hii 3 kafanya vizur nje ya hapo ni hoi msimu huu
 
Nawambie tu mkiona Man City tumekamata usukani hapo juu, basi mtabaki mnalia nyie na ole na Mungu wenu

Ndio epl itakuwa inaenda etihad namna hio


Hata Kama zitakuwa zimebaki game 10 ,city tukisimama kule juu, mtabaki mnaombea kufugwa sisi tunatoboa tuu
 
Nawambie tu mkiona Man City tumekamata usukani hapo juu, basi mtabaki mnalia nyie na ole na Mungu wenu

Ndio epl itakuwa inaenda etihad namna hio


Hata Kama zitakuwa zimebaki game 10 ,city tukisimama kule juu, mtabaki mnaombea kufugwa sisi tunatoboa tuu
Liverpool wakiwa wamelala wkt huo? yeah right
 
Nyie Man Utd mnapendelewa kudadeki


Watu wanakaa siku moja ndio wanacheza game nyie mmepewa siku kibao toka jmosi hadi jnne
 
Back
Top Bottom