Inasemekama ole ana date na mama wa martial..Martial kampa limbwata..
Inasemekama ole ana date na mama wa martial..
Kwa mujibu wa mashabiki wa Cavan duniani.


Itakuwa maan sio kwa kumpenda kule...Inashangaza sana Mkuu,,, ila za chini ya carpet zinasema hivyo ole ni step father wa martial..Itakuwa maan sio kwa kumpenda kule...
Ole aende Mkuu... CHIEF MKWAWA aje anipe mtazamo wake...Inashangaza sana Mkuu,,, ila za chini ya carpet zinasema hivyo ole ni step father wa martial..
Kkkkkk.
Jamaa ni motivational sana. Anastahili kiukweliAnaeza pewa maana siku hizi ucaptain Man U hauna heshima kama zamani
Mkuuu sijajua kigezo gan kinatumika siku hizi ila post za mtandaoni ni tofauti kabisa na uwanjanJamaa ni motivational sana. Anastahili kiukweli
My prediction
Liverpool 1-1 WestBrom (FT)
BTTS
U2.5
Hapo ndiyo mtajua hii ligi haitabiriki kabisa
HahahahahahahahahhahahahahahahahahMy prediction
Liverpool 1-1 WestBrom (FT)
BTTS
U2.5
Hapo ndiyo mtajua hii ligi haitabiriki kabisa
Yea kweli ila siku hizi naona timu nyingi ni ama ipigwe kura au kocha anapoint tu anayemtaka ili imfanye mchezaji husika awe committed na timu.Mkuuu sijajua kigezo gan kinatumika siku hizi ila post za mtandaoni ni tofauti kabisa na uwanjan
Kapten ni mtu mwenye mapenzi na tim na mara nyingi alikuwa anapewa mtu mwenye muda mrefu kwenye club.. baada ya Ashley Young kusepa sielewi ukapten wanpeanaje.
kwanza ilkuwa ni heshima na kuthamin mchango wake kwa muda mrefu ndani ya timu..
Hata akiingia kavaa kitamba moyoni unasema Yes mwenye timu anaingia
Mkuuu sijajua kigezo gan kinatumika siku hizi ila post za mtandaoni ni tofauti kabisa na uwanjan
Kapten ni mtu mwenye mapenzi na tim na mara nyingi alikuwa anapewa mtu mwenye muda mrefu kwenye club.. baada ya Ashley Young kusepa sielewi ukapten wanpeanaje.
kwanza ilkuwa ni heshima na kuthamin mchango wake kwa muda mrefu ndani ya timu..
Hata akiingia kavaa kitamba moyoni unasema Yes mwenye timu anaingia
Kuna radha imepungua sasaYea kweli ila siku hizi naona timu nyingi ni ama ipigwe kura au kocha anapoint tu anayemtaka ili imfanye mchezaji husika awe committed na timu.
Hao everton tunaenda kupress game mpaka waombe pooolMy Prediction
Everton 2-0 Manchester City (FT)
No BTTS
U2.5
Hapo ndiyo mtajua ligi hii haitabiriki kabisa na Ole hana hatia
mashabiki wa city bado mpo tuuHao everton tunaenda kupress game mpaka waombe poool
City tunaenda kuchukua epl
Ni swala la muda tu
Citizen chairman
Nilitengeneza simple mathematical model based on 4 indexes; Coaching years, rate of winning, number of times attending major competitions (UCL) and budget spent on their teams kwa walimu wote watatu (Julian, Ole & Mauricio).I need to know more about your Index.
Bro game iko Anfield, haiwezi kutoka droo.
mashabiki wa city bado mpo tuu
Me huwa na watag kabisaa wajeAlafu wanazingua kinoma, sababu hata wakifungwa hujui wapi pa kuwapata kwenda kuwapa pole.