Hadi wakina moize kean wanapata namba? Psg alioachiwa na unai kaipoteza sana
Tuchele hakufukuzwa kwa sababu za timu kushuka Kiwango.
Baada ya PSG kufungwa na man u 2-1 kwenye eufa ,,hapo ndy ugomvi wa tuchele na leonardo director wa football PSG ulipoanza,,
Na ukazidi kupamba moto baada ya journalists wa France kumwandama jamaa anapaswa afukuzwe.
-PSG 2' nd ktkt msimamo wa leage 1,,
-- PSG bado ipo ktk 16 bora ya eufa champions league.
Sasa anatatizo gani?
Tuchele amefukuzwa siku 2 baada ya kufanya interview,.
Alihojiwa ktk interview sport 1,,na hiyo ndy inasemekana ni sababu ya tuchele kufukuzwa,,
Kuna vitu aliongea vikawaudhi mabosi wa PSG..
Sababu hata yeye mwenyewe pia aligoma kuongeza mkataba pale PSG,, kwa kisingizio kwamba uongozi wa PSG pamoja na journalists wa france hawamsupport.
Tuchele alibakisha miezi kadhaa mkataba wake kwisha mwanzoni wa mwaka ujao 2021.
Pia kitendo cha kumfukuza na kumlipa 10 millions euros ni cha kiuwendawazimu.kwa uongozi mzima wa PSG..
Ni bora wangesubiri hiyo miezi 6 iliyobaki iishe.