Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakuu Jana Ni Kama Nilikuwa na bahati vile nyingine hii tena
IMG_20201227_082919.jpg
 
Kuna muda naona kuwa hata tukiongeza vifaa vingine bado hatutakuwa bora kama tunavyotaka maana Ole na benchi lake lina poor game management+team selection na uoga mwingi kuelekea game yenye pressure ndogo tu(mfano ya jana)..

Leicester sio kwamba hata walikuwa vizuri jana,ni sisi tu tulishindwa kuua mechi.

Game ya City,Leipzig,Leicester kama angekuwa na akili huyu socha tungeshinda vizuri tu.

Hauwezi kuwaweka benchi wachezaji bora na kuanza na substandard na kutegemea utashinda game za maana..James n.k
 
Kuna muda naona kuwa hata tukiongeza vifaa vingine bado hatutakuwa bora kama tunavyotaka maana Ole na benchi lake lina poor game management+team selection na uoga mwingi kuelekea game yenye pressure ndogo tu(mfano ya jana)..

Leicester sio kwamba hata walikuwa vizuri jana,ni sisi tu tulishindwa kuua mechi.

Game ya City,Leipzig,Leicester kama angekuwa na akili huyu socha tungeshinda vizuri tu.

Hauwezi kuwaweka benchi wachezaji bora na kuanza na substandard na kutegemea utashinda game za maana..James n.k
Hana kipaumbele ole alitakiwa awe na under 23 kwa hizi selection fikiria timu kama liverpool orig hana namba sasa huku martial anapata namba unaweza kuona kiwango cha kocha anataka nini kwa wachezaj na timu shaqir hana namba james anauhakika wa kucheza tena mech muhimu
 
Bado wengi wanaona ubovu wa Ole kwenye team selection na game management.

Benchi zima la ufundi lilitakiwa kufunika uzembe kama huu.

So far msimu huu tunakosa kombe kwa uwezo mdogo wa kocha.

Kocha angekuwa makini, tuna kikosi cha kubeba ubingwa.

Kutolewa UCL ni sababu ya ubovu wa kocha.
Hakika kabisa mkuu..

Ole hayupo serious,,
 
Victor namtetea yupo vizur unajua kukosa kikos cha kwanza wachezaj wanayumba? Hebu fikiria leo james alicheza upande wa lindelof hiv hawa waliwah kucheza pamoja lini upande wa kulia?
Ndio maana nasema hakuna kocha mpya atakaepata vikombe akiwa na wote hao James,Lindelof,Shaw,Martia,Bissaka.

Nakubali utetezi wako kwa kuwa hawa ndio tegemeo lkn hata Bunley hawapati namba
 
Aisee, mpira uko so dynamic.

Kabla ya jana wadau kibao tulianza kuamini Man Utd ni title contenders kwa jinsi walivyokuwa wameikaribia Liverpool.

Wenyewe mliita kukimbiza mwizi kimya kimya.

Kuna mpaka post ya Gary Neville akimsifu OGS.

Leo lugha imebadilika baada ya Leicester City kutoa droo.

Next ni Wolves na Astonvilla.
 
Kuna muda naona kuwa hata tukiongeza vifaa vingine bado hatutakuwa bora kama tunavyotaka maana Ole na benchi lake lina poor game management+team selection na uoga mwingi kuelekea game yenye pressure ndogo tu(mfano ya jana)..

Leicester sio kwamba hata walikuwa vizuri jana,ni sisi tu tulishindwa kuua mechi.

Game ya City,Leipzig,Leicester kama angekuwa na akili huyu socha tungeshinda vizuri tu.

Hauwezi kuwaweka benchi wachezaji bora na kuanza na substandard na kutegemea utashinda game za maana..James n.k
Ni wachezaji wangapi substandard walianza jana ?
 
Aisee, mpira uko so dynamic.

Kabla ya jana wadau kibao tulianza kuamini Man Utd ni title contenders kwa jinsi walivyokuwa wameikaribia Liverpool.

Wenyewe mliita kukimbiza mwizi kimya kimya.

Kuna mpaka post ya Gary Neville akimsifu OGS.

Leo lugha imebadilika baada ya Leicester City kutoa droo.

Next ni Wolves na Astonvilla.
Mashabiki wanataka kila mechi washinde kitu ambacho siyo rahisi kwenye football.

Matokeo ya jana ni fair results tu na hayatuondoi kuwa title contenders.
 
defence ina madhaifu yake lakini hilo haliondoi ukweli ya kwamba safu yetu ya ushambuliaji nayo inashindwa kumaliza mechi muda sahihi.
Ndiyo lakini pia defence yetu imekuwa rahisi sana kufungika msimu huu kuliko msimu uliopita labda kwa sababu tulikuwa tunacheza compact sana msimu uliopita kuliko hivi sasa.

Safu yetu ya ushambuliaji ina mapungufu yake pia ya kushindwa kuwa clinical kwenye nafasi za wazi lakini inapoteza mipira mara nyingi sana na kupelekea kufungwa magoli ya counter.
 
Umeona lakini jinsi washabiki walivyombadilikia Sosha?

Nafikiri wengi wanaichukulia Leicester City kama timu ndogo, labda kwa sababu Man Utd ana history nzuri ya kuifunga. Ila siyo timu unayoweza kulalamika ukipata draw.
Mashabiki wengi wa United wako desperate kuwa juu kwenye msimamo wa ligi hivyo wanataka wafike juu bila kuangalia hatua zipi tunapaswa kuzipitia kabla ya kufika huko juu.

Matokeo ya jana ni fair results na wala hayaiondoi United kupigania ubingwa.

Kuhusu mashabiki wa united kumbadilikia Sosha ni kwamba wengi hawaamini kuwa anaweza kuwafikisha hapo juu na ukiwauliza yupi anaweza kuwafikisha hata majibu hawana.

Kwangu mimi naona Ole amefanikiwa kuhandle pressure kubwa iliyopo nyuma ya United na kwa na matokeo anayoyapata ni fair tu ukizingatia na ugumu wa ligi na muda ambao amekaa na timu.
 
Goli la kwanza lilitoka kwa James lakini
Martial alitoa assist juzi na kufunga but watu hawamtaki..unadhani wana personal issue nae au?.

Tungekuwa bora kama nafasi yake angeanza Greenwood au Cavani.

Pia usisahau alivyoshindwa kupiga pasi nyepesi tu kwa Fernandes ili afunge. na Ole ndo akaamka hapohapo na kumtoa.
 
Martial alitoa assist juzi na kufunga but watu hawamtaki..unadhani wana personal issue nae au?.

Tungekuwa bora kama nafasi yake angeanza Greenwood au Cavani.

Pia usisahau alivyoshindwa kupiga pasi nyepesi tu kwa Fernandes ili afunge. na Ole ndo akaamka hapohapo na kumtoa.
Makosa kama hayo uwanjani yapo tu hata kwa wale mnaowataka.
Tunamwandama James wakati hata Rashford kakosa nafasi mbili za wazi
 
Back
Top Bottom