Rashford ile jez mgongoni namba 10 imemharibu sana na greenwood kupewa 11 wametoka mchezoni ole alifanya harak sana rashford alipaswa kusubir sna alitakiwa kubak na 19 yake kwanzaBao la tatu la Arsenal sijui Rashford kaliangalia na kujifunza chipping badala ya mabavu
Unajisikiaje mkuu? HahahahhahaSasa berbatov si nyumbu tu anaombea arsenal ashinde ili muwepo nafasi nzuri
Msimu huu tumefunga magoli mengi licha ya kutengeneza nafasi nyingi za kufunga ,wachezaji/timu haina progress wala consistency only Bruno ndio mchezaji mwenye consistency while Martial amedrop sana at least Rashford licha ya kukosa magoli mengi still amejitahidinitawalaumu zaidi washambuliaji kuliko safu ya ulinzi kwa haya matokeo yaliopatikana mchana wa leo, ukiangalia goli la kwanza limetokana na madhaifu ya bruno na goli la pili tumeshuhudia ubora wa vardy kwa kuweza kuwakimbia walinzi na kuiwahi krosi ilioonekana kuwa ni nyepesi.
achana na goli za leicester, timu yetu bado inasumbuliwa na tatizo la umaliziaji na ukiangalia nafasi tunazotengeneza kwa takribani kila mechi haziendani kabisa na kiwango cha magoli yanayofungwa.
kinachostaajabisha msimu uliopita tulikuwa na safu bora sana ya ushambuliaji Rashford na martial were very deadly, bila ya kumsahau greenwood aliyekuwa na takwimu nzuri sana ya kufunga magoli kwa kuangalia nafasi alizokuwa akizipata.
msimu huu tumemuongeza mchezaji mwenye uzoefu pale mbele ili tuongeze nambari za magoli ya kufunga lakini wachezaji hawa waliokuwepo ndio wameshindwa kuendana na kasi ya msimu uliopita ya kufunga magoli.
WestBrom wanalazimisha sare moja kwa moja tulia tuliMan u poleni.. ni mimi shabiki wa liverpool .. nimepita kuwapa hi tu
Pole wape chelseaMan u poleni.. ni mimi shabiki wa liverpool .. nimepita kuwapa hi tu
Tatizo la ole hayupo serious na makombe,,Labda musimu ujao atavuruga stability ya team tuko vizuri
Ndy maana hata mm nilipoona line up,,Damn nahisi tumekosa ushindi kwa uzembe. Yaani Daniel James anaanza badala ya kina pobga, de beek, Mata na Cavan?
Yanamuhusu kwa kupanga line up mbovu kuwahi kutokea.Makosa ya Rashford kushindwa kufunga magoli mawili yanamhusu nini
Alichoharibu nn mkuu?Yule kocha aliefukuzwa psg ni mwehu tu kaiharibu mno psg ni bora kubaki na ole
Msimu huu tumeongeza mshambuliaji mwenye uzoefu hapo .mbele,,,..nitawalaumu zaidi washambuliaji kuliko safu ya ulinzi kwa haya matokeo yaliopatikana mchana wa leo, ukiangalia goli la kwanza limetokana na madhaifu ya bruno na goli la pili tumeshuhudia ubora wa vardy kwa kuweza kuwakimbia walinzi na kuiwahi krosi ilioonekana kuwa ni nyepesi.
achana na goli za leicester, timu yetu bado inasumbuliwa na tatizo la umaliziaji na ukiangalia nafasi tunazotengeneza kwa takribani kila mechi haziendani kabisa na kiwango cha magoli yanayofungwa.
kinachostaajabisha msimu uliopita tulikuwa na safu bora sana ya ushambuliaji Rashford na martial were very deadly, bila ya kumsahau greenwood aliyekuwa na takwimu nzuri sana ya kufunga magoli kwa kuangalia nafasi alizokuwa akizipata.
msimu huu tumemuongeza mchezaji mwenye uzoefu pale mbele ili tuongeze nambari za magoli ya kufunga lakini wachezaji hawa waliokuwepo ndio wameshindwa kuendana na kasi ya msimu uliopita ya kufunga magoli.
Huu ndiyo ukweli defence yetu msimu huu inasikitisha sanaMsimu huu tumefunga magoli mengi licha ya kutengeneza nafasi nyingi za kufunga ,wachezaji/timu haina progress wala consistency only Bruno ndio mchezaji mwenye consistency while Martial amedrop sana at least Rashford licha ya kukosa magoli mengi still amejitahidi
Our main problem this season ni defence ,tumekuwa tunaruhusu magoli mengi sana kizembe kwenye mechi 14 za EPL tumeshafungwa magoli 23 last season tulifungwa magoli 36 kwenye mechi 38 kwenye Champions league tumefungwa magoli 10 kwenye mechi 6
Bado wengi wanaona ubovu wa Ole kwenye team selection na game management.Mashabiki wote duniani wameshangazwa na line up ya man u dhidi ya leceister city.
Ni kama ole alikuwa anajaribu ,hakuwa serious na matokeo.View attachment 1659637View attachment 1659638
defence ina madhaifu yake lakini hilo haliondoi ukweli ya kwamba safu yetu ya ushambuliaji nayo inashindwa kumaliza mechi muda sahihi.Huu ndiyo ukweli defence yetu msimu huu inasikitisha sana
I need to know more about your Index.Vipi kwa Ole?
Sijatumia public opinion haya ni maoni yangu binafsi.
Ulipaswa uniulize kwa nini nimemchagua Julian Nagelsmann? Na sio tuendelee na Ole au Mauricio Pochettino?
Nimetumia mathematical model approach kumchagua Julian Nagelsmann dhidi ya niliomshindanisha nao akiwemo Ole na Mauricio Pochettino.
Evaluation index zangu zilikuwa muda wa ukocha, asilimia za ushindi, mara walizoingia mashindano makubwa (UCL) na kiwango cha uwekezaji wa fedha ktk vikosi vyao.
Nilipotumia hivyo vigezo hapo juu nikaona Julian (56%) alianza akafuatiwa na Mauricio (47%) na wa mwisho Ole (43%). Hapa nimefanya selection kwa kutumia namba tu. (evaluation index zangu zilikuwa nne tu)
Kigezo kikubwa kilichoni-trigger ni mapungufu tulinayo kwa sasa na benchi letu la ufundi yaani upangaji wa kikosi na usimamizi wa mchezo, kujua nini kifanyike kwa sasa na nani aingie au atoke.
Haya ni maoni yangu binafsi maana uliniuliza nani anafaa kumbadili Ole. Nilimchagua Julian kwa kutumia vigezo vinne na uwezo wake wa game management skills sikuangalia umri wake.
So far Cavan yupo. Alitakiwa apewe priority.nitawalaumu zaidi washambuliaji kuliko safu ya ulinzi kwa haya matokeo yaliopatikana mchana wa leo, ukiangalia goli la kwanza limetokana na madhaifu ya bruno na goli la pili tumeshuhudia ubora wa vardy kwa kuweza kuwakimbia walinzi na kuiwahi krosi ilioonekana kuwa ni nyepesi.
achana na goli za leicester, timu yetu bado inasumbuliwa na tatizo la umaliziaji na ukiangalia nafasi tunazotengeneza kwa takribani kila mechi haziendani kabisa na kiwango cha magoli yanayofungwa.
kinachostaajabisha msimu uliopita tulikuwa na safu bora sana ya ushambuliaji Rashford na martial were very deadly, bila ya kumsahau greenwood aliyekuwa na takwimu nzuri sana ya kufunga magoli kwa kuangalia nafasi alizokuwa akizipata.
msimu huu tumemuongeza mchezaji mwenye uzoefu pale mbele ili tuongeze nambari za magoli ya kufunga lakini wachezaji hawa waliokuwepo ndio wameshindwa kuendana na kasi ya msimu uliopita ya kufunga magoli.
Jana kuna mda camera zilienda kumulika benchi la man u, yn mafundi karibu wote wapo nje aisee, kocha hana first eleven mpk leo duuhh.Msimu huu tumeongeza mshambuliaji mwenye uzoefu hapo .mbele,,,..
Je ole anamtumia huyo mshambuliaji mpya ipasavyo?
.Mara zingine sijuwi hata baadhi ya wachezaji wapya walinunuliwa kwa sababu gani.,
Lundo la wachezaji wapya na hawachezeshi..
Kwanini aendelee kuwang' ang' ania akina martial wakati ana cavani?
Huyu ole mzima kweli?