Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kocha gani anafaa kuwa replacement ya Ole pale United ?
Mapungufu ya Ole ni squad selection & game management skills.

Binafsi namkubali sana Julian Nagelsmann. Jaribu kuangalia mechi za RB Leipzig, utaona game management skills ya kocha inavyo-play role kubwa kuleta utofauti uwanjani.
 
Mapungufu ya Ole ni squad selection & game management skills.

Binafsi namkubali sana Julian Nagelsmann. Jaribu kuangalia mechi za RB Leipzig, utaona game management skills ya kocha inavyo-play role kubwa kuleta utofauti uwanjani.
Ameshaachieve nini ?
Pressure ya United ataweza huyo mtoto ?
 
Kweli kabisa. Badala kukimbilia kudefend akawa anatembea
Ukiangalia vizuri mbali ya kutembea anamwelekeza beki 3 kakabee, wakati yeye ndo anapaswa kuziba hiyo nafasi, matokeo yake beki anakuja akiwa ameshachelewa na killing cross inazaa goli.
 
Aston Villa wanapiga mpira mkubwa na wako pungufu..wanaongoza 3 bila

Good character
 
Ameshaachieve nini ?
Vipi kwa Ole?
Pressure ya United ataweza huyo mtoto ?
Sijatumia public opinion haya ni maoni yangu binafsi.

Ulipaswa uniulize kwa nini nimemchagua Julian Nagelsmann? Na sio tuendelee na Ole au Mauricio Pochettino?

Nimetumia mathematical model approach kumchagua Julian Nagelsmann dhidi ya niliomshindanisha nao akiwemo Ole na Mauricio Pochettino.

Evaluation index zangu zilikuwa muda wa ukocha, asilimia za ushindi, mara walizoingia mashindano makubwa (UCL) na kiwango cha uwekezaji wa fedha ktk vikosi vyao.

Nilipotumia hivyo vigezo hapo juu nikaona Julian (56%) alianza akafuatiwa na Mauricio (47%) na wa mwisho Ole (43%). Hapa nimefanya selection kwa kutumia namba tu. (evaluation index zangu zilikuwa nne tu)

Kigezo kikubwa kilichoni-trigger ni mapungufu tulinayo kwa sasa na benchi letu la ufundi yaani upangaji wa kikosi na usimamizi wa mchezo, kujua nini kifanyike kwa sasa na nani aingie au atoke.

Haya ni maoni yangu binafsi maana uliniuliza nani anafaa kumbadili Ole. Nilimchagua Julian kwa kutumia vigezo vinne na uwezo wake wa game management skills sikuangalia umri wake.
 
Vipi kwa Ole?

Sijatumia public opinion haya ni maoni yangu binafsi.

Ulipaswa uniulize kwa nini nimemchagua Julian Nagelsmann? Na sio tuendelee na Ole au Mauricio Pochettino?

Nimetumia mathematical model approach kumchagua Julian Nagelsmann dhidi ya niliomshindanisha nao akiwemo Ole na Mauricio Pochettino.

Evaluation index zangu zilikuwa muda wa ukocha, asilimia za ushindi, mara walizoingia mashindano makubwa (UCL) na kiwango cha uwekezaji wa fedha ktk vikosi vyao.

Nilipotumia hivyo vigezo hapo juu nikaona Julian (56%) alianza akafuatiwa na Mauricio (47%) na wa mwisho Ole (43%). Hapa nimefanya selection kwa kutumia namba tu. (evaluation index zangu zilikuwa nne tu)

Kigezo kikubwa kilichoni-trigger ni mapungufu tulinayo kwa sasa na benchi letu la ufundi yaani upangaji wa kikosi na usimamizi wa mchezo, kujua nini kifanyike kwa sasa na nani aingie au atoke.

Haya ni maoni yangu binafsi maana uliniuliza nani anafaa kumbadili Ole. Nilimchagua Julian kwa kutumia vigezo vinne na uwezo wake wa game management skills sikuangalia umri wake.
Ni JULIAN wa RB Reipzig na sio Tuchele
 
kwa wale wajuzi wa tovuti za kuangalia mpira mubashara muwe munatusaidia kutuwekea humu ndani (wasisubirie kuombwa) ili kuwasaidia wale waliombali na huduma ya televisheni (wengine tuko mbali sana na televisheni kipindi hiki)
 
Ole akitaka kutwaa EPL Centre forward awe ni Cavani hawa dogo kama Martial hana mchango kama centre forward timing yake mbaya na hizi offside na hawezi kumiliki mpira
hata rashford hana sifa za kuchezea timu ya ushindi wa ubingwa wale ni wa level za aston villa au leeds wakutoa changamoto kwa timu kubwa kale ka bwana mdogo ule uingereza na kukulia kwenye academy vinambeba
 
kwa wale wajuzi wa tovuti za kuangalia mpira mubashara muwe munatusaidia kutuwekea humu ndani (wasisubirie kuombwa) ili kuwasaidia wale waliombali na huduma ya televisheni (wengine tuko mbali sana na televisheni kipindi hiki)
Aston villa 3-0 Crystal Palace (FT)
Arsenal 2-0 Chelsea (HT)
IMG_20201226_212009_118.jpg
 
Back
Top Bottom